Usafi wa mtoto wa kike huko chini

Usafi wa mtoto wa kike huko chini

Kama mitaa ya huko chini inaitaji matunzo namna hiyo.Sisi mapupu yanaweza kuoshwa bila sabuni na kukawa freshi tu.hili la haki sawa kwa wote halitekelezeki.

Kha!, mapupu yanaoshwa bila sabuni, hafu boxers hamfui, kwani sabuni shingapi?!
 
Hapana kwa kweli asali tena!, upite penye nyuki?!, KE tuna kazi na huko down south kwetu si mchezo, mara weka maziwa, sijui sukari,sijui limao, ndimu, and then what do you do with it After you put all that!, you fry it or bake it?!
 
Sawa kwahio kwa nini wengine wakuwa naharuf chini sababu gani au aina ya magojwa fulali na taka kujuwa
 
Kuna mdada nilimuuliza inakuwaje usafi wa k ilhali ana makucha marefu km shetani! Akanijibu k haijaumbwa kuingizwa madole, so ht usafi wk hauhitaji madole!
Akaenda mbali zaidi, akasema yeye anatumi jiwe la kusugulia gaga! sasa hapa mnanchanganya na maelezo yenu Dinazarde na wenzio!
 
Last edited by a moderator:
Daaah kungekuwepo jukwaa la wanawake aiseee

Unataka kuficha nini, Mwaga kila kitu hapa hapa, unajuaje, labda nasisi tunaweza pata maujuzi ya kukusafisheni pindi tusiporidhishwa na usafi wenu kunako naniliiiiiii.
 
tumia kidole na maji sabuni nje tu

usitumie deto huko down maana unaua hao bacteria amabo wanalinda utamu usivamiwe na bacteria harmful

ila cancer ya kizazi...inasababishwa na virusi na si SABUNI

mmmmh docta njooo basi utoe mchanganuo maana kuna clip ilisambaa sana ki ukweli ina kauongo flan

safisha papuchi vizuri na inukie sasa WEWE GUSA GUSA TU UKATANGAZWE
KUSAFISHA PAPUCHI HAKULETI CANCER BALI CANCER HUSABABISHA NA VIRUS DUE TO SEX....UKAAMBUKIZWA


Unajua Wabongo kwa kampeni tumetisha sana! ila tatizo vitisho vingi badala ya elimu kutolewa, mi naona tuchunguze sababu ya hizo kansa, kwasababu kama ni kuosha hizi papuchi zimeoshwa sana tangu enzi hizo.
 
habari wapendwa mie ni msichana.. Nimeona sehemu na haikutosha nikatumiwa txt . Ni kuhusu kujisafisha kwa uke, kuna kila aina ya usafishaji mfano maji ya moto na kitambaa au kidole, ndimu, hata asali na pamba. Mie binasi naijua maji kwa kidole. Ila ni hii ya asali na pamba mixer na maji ya oto na sabuni jaman dada zangu ni njia ambayo haifai maana inauwa ulinzi(bacteria) wanailinda uke wako njia hii inamadhara sana kama hujui inaweza kukuletea cancer ya kizazi. Tafadhalini sana tujaribu kuepuka mambo yanayo epukika. Asanteni

na kurudisha UBIKIRA ni dawa gani inayotumika mkuu maana K ya my wangu ni pana sana and it's watery! how can u help her to resolve this problem?
 
Unajua Wabongo kwa kampeni tumetisha sana! ila tatizo vitisho vingi badala ya elimu kutolewa, mi naona tuchunguze sababu ya hizo kansa, kwasababu kama ni kuosha hizi papuchi zimeoshwa sana tangu enzi hizo.

tunaomba madr waje watichambulie vizuri hili swala na mambo ya kansa
 
Unataka kuficha nini, Mwaga kila kitu hapa hapa, unajuaje, labda nasisi tunaweza pata maujuzi ya kukusafisheni pindi tusiporidhishwa na usafi wenu kunako naniliiiiiii.

Mweh mweh....ulikuwa wapi aisee nimekumiss
 
Back
Top Bottom