Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,838
Sijui ili iwe nini sasa, au ndo iwe tamuuuKazi kweli kweli , YAANI WATU WANATUMIA PAMBA NA ASALIIIII
teh teheeee ni shidaaaa
Sijui ili iwe nini sasa, au ndo iwe tamuuuKazi kweli kweli , YAANI WATU WANATUMIA PAMBA NA ASALIIIII
teh teheeee ni shidaaaa
Just use steal-wire to clean that part of the world....Lola.
Sijui ili iwe nini sasa, au ndo iwe tamuuu
Hahahahahahhaaaaaa siku hizi wako bize kweli wakihitaj hiyo sevisi watapewaKama hata kukata kucha, kuosha miguu etc, itabidi muanze kuzipeleka kwa wauza urembo wawaoshee.
Kama mitaa ya huko chini inaitaji matunzo namna hiyo.Sisi mapupu yanaweza kuoshwa bila sabuni na kukawa freshi tu.hili la haki sawa kwa wote halitekelezeki.
Kha!, mapupu yanaoshwa bila sabuni, hafu boxers hamfui, kwani sabuni shingapi?!
Hapana kwa kweli asali tena!, upite penye nyuki?!, KE tuna kazi na huko down south kwetu si mchezo, mara weka maziwa, sijui sukari,sijui limao, ndimu, and then what do you do with it After you put all that!, you fry it or bake it?!
Ukiambiwa uchague kunyonya yangu ambayo haijaoshwa wiki 2, au ya mwanamke haijaoshwa wiki 1, utachagua ipi!
Daaah kungekuwepo jukwaa la wanawake aiseee
tumia kidole na maji sabuni nje tu
usitumie deto huko down maana unaua hao bacteria amabo wanalinda utamu usivamiwe na bacteria harmful
ila cancer ya kizazi...inasababishwa na virusi na si SABUNI
mmmmh docta njooo basi utoe mchanganuo maana kuna clip ilisambaa sana ki ukweli ina kauongo flan
safisha papuchi vizuri na inukie sasa WEWE GUSA GUSA TU UKATANGAZWE
KUSAFISHA PAPUCHI HAKULETI CANCER BALI CANCER HUSABABISHA NA VIRUS DUE TO SEX....UKAAMBUKIZWA
habari wapendwa mie ni msichana.. Nimeona sehemu na haikutosha nikatumiwa txt . Ni kuhusu kujisafisha kwa uke, kuna kila aina ya usafishaji mfano maji ya moto na kitambaa au kidole, ndimu, hata asali na pamba. Mie binasi naijua maji kwa kidole. Ila ni hii ya asali na pamba mixer na maji ya oto na sabuni jaman dada zangu ni njia ambayo haifai maana inauwa ulinzi(bacteria) wanailinda uke wako njia hii inamadhara sana kama hujui inaweza kukuletea cancer ya kizazi. Tafadhalini sana tujaribu kuepuka mambo yanayo epukika. Asanteni
Unajua Wabongo kwa kampeni tumetisha sana! ila tatizo vitisho vingi badala ya elimu kutolewa, mi naona tuchunguze sababu ya hizo kansa, kwasababu kama ni kuosha hizi papuchi zimeoshwa sana tangu enzi hizo.
Unataka kuficha nini, Mwaga kila kitu hapa hapa, unajuaje, labda nasisi tunaweza pata maujuzi ya kukusafisheni pindi tusiporidhishwa na usafi wenu kunako naniliiiiiii.