Kabisa mana hata na mwiko wenyewe hajakumbuka kuoshaLabda ni lile tulitumia men siku women walipoenda kwenye sherehe yao majuzi kati
Ohooooooo!!!Hawa wanawake mnaowapata Instagram ndiyo wanapika kiuchafu-uchafu design hii.
Diva gani tena?Jikoni kama kwa Diva...
Haaa uyo mtumiaji wa ilo jiko ni hatariTunaweza kulaumu kuwa ni mwanamke ndio mmiliki wa hili jiko,huwezi jua hata mwanaume bachela nae anaweza fanya hichi kituko. Jaman ee usafi muhimu wakati wa kupika na baada ya kupika kwa watu wote
View attachment 479517
Kama kawaida nimeiokota mtandaoni.