Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Haaaaa .......yaani hapo kuna swali kweli!!!!????????
Si kaweka kiulizo?:what::what::what:
Haaaaa .......yaani hapo kuna swali kweli!!!!????????
Afya yangu salama kabisa....yako je?
snowhite mimi nipo kundi bora zaid ya hao watu wengine ....................hao ndio kama ulivyosema!!!!!
Si kaweka kiulizo?:what::what::what:
Ameshakuhonga? Kama ndio kakuhonga nini ili nijiongeze🙄🙄🙄🙄
Kanihonga like na rep power. Sijui utatoka vipi.
Kama ingekuwa epo ningemwambia akuonje wewe kabla hajanila mimi...........
Acha kudanganya wenzio. Usafi wa papuchi muhimu, ikibidi tumieni magunzi.
Mi nakuhonga uplatinum member..but wait.....hivi nkikuhonga choklet?
Tobaaaa tusamehe bure mwalimu wangu.....nimekuangusha?
Koh koh kok, choklet bar???
Bar nikimaanisha ufito.
hapo kamaliza mahesabu!
uko bien?
hata mimi nakuona!
Iko bara bara..naamini hujatiamo vidole huko..subiri storongo ndo ifanye hiyo kazi...sawa sawa?
Hahahah comrade umenipa homework ya kumjua huyo mdada mpaka nimeshamjua. Mimi kweli ni Jinias kama Mwigulu.
mwalimu, wakati unacheka unakumbuka kunigongea like? au hujui mimi na Like ni sawa na Malawi na ziwa Nyasa?