Yahoo mkimaliza msosi shurti mkajiswafi kwanza,ili kuondoa majasho na kurudisha nguvu mpya,kuoga kunasaidia sana kuwafa mjione kama ni wapya,
na inapendeza sana kama mtaoga pamoja katika harakati za kuogesha mnaweza kupata ham ya kula chakula tena hukohuko bafuni,
Kuoga ni muhimu sana Yahoo.
so,kila baada ya bao ,kuoga!
cc huwa tunajifuta kwa kitambaaa au kitambaa safiiii,then game linaendlea
Kama nyapu haitemi shida hakuna...Wacha kumpoteza kijana wa watu. hakuna maandalizi kabla?
Mtu unatoka na majasho kazini, shambani, sokoni, sijui wapi
unadhani utahudumia(wa) sawa na unapo kuja sofresh soclean?
Kama nyapu haitemi shida hakuna...
ngoja nipige kambi niambulie japo kujua kujiswafi
ngoja nipige kambi niambulie japo kujua kujiswafi
mzima jamani umepotelea wapi weye?ziote wapi mpendwa ndo kwanza kipara kinaota unga,kungwi ntakuwa mie huoni nilivyokimbilia nipate shule mambo ya kupwinha naona yatafika tamati baada ya somo la leo!
Mzima wewe? Nywele zimeanza kuota!? Tangu lini kungwi asijue mambo ya usafi bana!?
kwa nini mpendwa?hahahaa yani umenifurahisha kweli
Wengine hatujaenda jando wala unyago tunahitaji kupata elimu. Tulikuwa tunasomea uthungu.Ndio kazi ya somo sasa. Hivi inakuaje siku hizi
watu wanaoa/kuolewa bila kwenda jandoni?
ma-trick yote ya usafi ungepata huko huko
Mrs nae angefundwa,kazi yake angeijua vizuri.
Ngoja mi nikae kimya, tuliambiwa tusieme tulicho fundwa.
mzima jamani umepotelea wapi weye?ziote wapi mpendwa ndo kwanza kipara kinaota unga,kungwi ntakuwa mie huoni nilivyokimbilia nipate shule mambo ya kupwinha naona yatafika tamati baada ya somo la leo!
safi aisee pesa kwanza mambo mengine baadae,halafu weye tangu siku ya kwanza nimekuambia pesa sina nionee huruma nateseka na kipara ndo kwanza wataka pesa ubaya huo jamani...nani huyo ananipa ukungwi wa kimagumashi usikute mzushi the boss?
....Nilikuwa nazitega pesa dah! Basi juzi nikaenda kupunguza afro langu wakati yule kinyozi anazifagia nikakumbuka moyoni nikasema hizi nywele ningeweza kuwekeza kichwani kwa shosti hahahahahah lol! Kila mwezi ningepata mshiko mzuri Niliwahi kusoma hapa jamvini kwamba Shosti ni kungwi ndiyo maana nikashangaa kukuona unasubiri data za idara hii ili zikusaidie.
safi aisee pesa kwanza mambo mengine baadae,halafu weye tangu siku ya kwanza nimekuambia pesa sina nionee huruma nateseka na kipara ndo kwanza wataka pesa ubaya huo jamani...nani huyo ananipa ukungwi wa kimagumashi usikute mzushi the boss?
mhh ulivyomtetea haya tufanye si mzushi ila wazushi wengine ndo wamezua,hapo utakuwa umefanya la maana maana mie siogopi kudaiwa atii...leo angalau maji yatapita nna uhakika wa nywele japo si zangu...ntajishauaje!Hahahahahah lol! hapo kwenye bold mie sitii neno LOL!.....Ila naweza kumtetea kwamba kwa jinsi ninavyomfahamu si mzushi labda wazushi wengine ndio waliandika hivyo ....basi naweza kuwekeza kwa mkopo maana kipara noma bana!!!!! mambo yakiwa mazuri unanipa mshiko mnene zaidi wa kipindi chote ambacho ukwasi wako utakuwa unasuasua LOL!