Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Wajitangazie Vifo vingi ili iweje....Unajuaje kama wanapika hizo taarifa za vifo?
Senti bai yuzingi tecno T301
Watu kama wewe ndo mnaoitwa Conspiracy Crackpots
Wajitangazie Vifo vingi ili iweje....Unajuaje kama wanapika hizo taarifa za vifo?
Senti bai yuzingi tecno T301
Unawaona wanaongoza kwa Vifo kwa sababu hawafichi taarifa, siyo nyinyi na ujinga wenu hapa
Asee,huenda,Mimi nawashangaa China wamewezaje kucontrol huu ugonjwa..Kuna conspiracy theory kuwa USA walimtumia scientist wa kichina kupandikiza corona Wuhan, wachina wakashtukia mchezo. Wakajipanga wakaapa kulipiza,
wakammshawishi huyo traitotor aende China then wakamaliza,
Baadaye wakastrugle wakapata dawa na kinga,
kabla ya outbreak between sept 2019 - 2020 in retaliation china wakakusanya wagonjwa asymptomatic, zaidi ya 720 wakapakiwa kwenye ndege tofauti kwenda USA Italy na Uk, then wakaachiwa kusambaa kila sehemu kushika, kutema Kukohoa kila mahari bila kuonwa ili kusambaza hao virus.
baada ya kumaliza hiyo kazi kwa ufanisi, wakukusanyika pamoja na kurudishwa China, kisha kutibiwa na kupona,
China wamecontrol contagious na rate iko chini sana, muziki wameaachia the US and Co waucheze