USA nao wanataka majina ya facebook, instagram, twitter &Co.!

View attachment 450051
Yaani mkuu wangu Barbarosa unaniangusha sana;mahaba kwa chama chetu yamekufanya ushindwe hata kutulia na kuisoma vyema taarifa hiyo,ndiyo maana umeandika US of Amerikaa!!Sijui hii ulimaanisha nini??

Halafu hawa jamaa kuomba Social media accounts,hwamaanishi uwape mpaka nywira yako.Ni sawa na unapotuma maombi ya kibarua cha buku saba,wakikwambia ktk barua unadike sanduku la Posta,haimaanishi na funguo ya kufungulia sanduku lako uwape.

Au wanaposema andika email yako,haimaanishi uwape na nywira ya barua pepe hiyo.Hata kwa kuandika account yako ya Facebook,lengo si kuwapa wao faragha yako ya Fb.Wanachotaka wao ni kufuatilia post na michango yako ya nyuma ya Fb kwa kuangalia maandishi unayoyapost,kwani wenzetu walioendelea,maandishi yako tu yanaweza kuelezea kilichomo kichwani mwako.

Yaani wao mtu akindika tu,wanaweza kujua mtu huyu nia yake nini?Kwa hiyo hata ukifanya ugaidi wanaweza pitia posts zako na wakajua kuwa nia hiyo ulikuwa nayo muda mrefu.Kwa mfano;yale maandishi ya yule Deogratius Kisandu ,ingekuwa huko nje,madaktari wangeshampa kitanda muda mrefu.

Soma vizuri sehemu ya maelezo la Tangazo hilo:
Even though the request for social media information is optional, the program has attracted intense criticism from the tech industry and civil liberties groups. The critics point out that social media profiles can reveal deeply personal information—sexual orientation or political viewpoints, for instance—and that the collection program could lead other countries to impose similar requirements. As a result, Americans traveling abroad could have to hand over their Facebook profile to enter a country.
Na hapa,angalia aina na muundo wa form unayotakiwa kujaza;

Mkuu hapo kwa Kisandu umenifanya nicheke kwa sauti
 
We jamaa kwa viroja hujambo! Yaani kwa akili yako ku-reveal social media accounts ni sawa na alichofunguliwa mashitaka Max?! Yaani kwa akili yako unadhani leo hii niki-reveal social media accounts zangu za FB, Instagram, Twitter wakati nipo kwenye real life ni sawa na ku-reveal who's chige?!

Halafu ona... eti ni ni hatua ya kwanza ya total surveillance. Hivi unafahamu maana ya surveillance wewe au umelipenda tu hilo neno ukaamua kulipachika? Unafanya vipi surveillance, hususani kupitia social media accounts kwa mtu ambae umeshamwambia akupe accounts zake?! Ni wannabe terrorist gani atakayetoa posts za kigaidi kwenye accounts ambazo yeye mwenyewe ameziwasilisha Homeland Security? Wanataka kufanya surveillance au wanataka kuangalia historical posting yako; mambo ambayo hata mimi ukinitumia request lazima nikague timeline yako na nikiona una-post vita vya hovyo hovyo hapo hapo na-reject request yako!

Unahitaji kupelekwa darasani kuelimishwa kwamba, kwa kuangalia social media accounts za watu na posting habit yao inasaidia sana kutoa picha ya who you are?

Na kwa heading na habari yako unaonekana kusema Max na waungaji mkono wake hawatakiwi kulalamika kwa sababu hata Wazungu wa Marekani ndicho wanachofanya! Ulivyo mnafiki usie na aibu, mara kwa mara umekua ukitoa posts ukijifanya kuponda watu wanaotoa reference za Wazungu lakini wewe leo hii unaonekana kesi dhidi ya Max ni sawa tu kwa sababu hata Wazungu wa Marekani ndivyo wanavyofanya!

SHAME ON YOU!
 
Barbarosa unachanganya sana!
Kutaka account yangu ya facebook SIO SAWA na kuwapa password yangu wasome email zangu!US wanataka tu waone facebook yako una weka vitu gani hasa kama kuna post unashabikia magaidi
TZ Polisi wanamkamata Maxence Melo ili awape password waone tunaandika nini na tunaandikia toka wapi
Ona tofauti hiyo,acha mahaba
 
Baada ya Serikali yetu kumtaka mmiliki wa JF ikteta!

Uncle Sam Wants Travelers to Hand Over Social Media Accounts
sasa utafananishaje issue ya max na hii mbona hazifanani? ingekua wamewataka fb ama twitter kutoa detail za account za watumiaji hapo sawa ila kwa issue hii uloandika wewe haifanan kabisa na issue ya max,,hapa utakua hujaielewa hio taarifa au umeielewa but umeamua tukupotosha tu kwa makusudi....huwez kumpa ushaurimax kwa kutumia mfano huu wa habari ulioileta wewe
 
Baada ya Serikali yetu kumtaka mmiliki wa JF kushirikiana na Serikali kumezuka maneno meengi ya dharau na kejeli dhidi ya Serikali yetu mimi naita dhidi ya Watanzania kwani Serikali inatuwakilisha hasa hasa ktk kwa madiaspora na wengi wao wanaishi USA!

Sasa USA wameamua katika hali inayoonekana kuwa ni hatua ya kwanza ya total surveillance kwa wasafiri wote ambao kwa sasa hawahitaji viza kuingia USA kuweka wazi akaunti zao zote za social media kama twitter, facebook, instagram n.k. bila ya hivyo ni no entry ina the US of Amerikaa!

Halii hii bila shaka itapelekea pia nchi hizo kuwataka raia wa USA pia kuweka wazi social medai accounts zao kabal ya kuingia EU!

Najua hapa JF kwa kuwa kafanya Mzungu, Mwafrika atatoka povu kuteteta na kuhalalisha na kusema hii ni ya Mzungu ni demokrasia na ya kwetu ni udikteta!

Uncle Sam Wants Travelers to Hand Over Social Media Accounts
Hii si ya kidikteta ni ya kawaida sana hauwezi ilinganisha na iliyopo iliyotumika kumsweka ndani max kule marekani alikamatwa Gaidi akagoma kuifungua simu yake aina ya iPhone ili polisi wasome taarifa zake na kujua Tabia zake ikawa vigumu,wakaamua kwenda kwa mmiliki wa kiwanda cha iPhone awasaidie kutoa Siri za iPhone akagoma kutoa mpaka leo FBI wanahaha lakini mmiliki wa iPhone kagoma na hawajamkamata kumweka ndani,lakini ingekuwa Tz leo hii angekuwa gerezani Ukonga.
 
sasa utafananishaje issue ya max na hii mbona hazifanani? ingekua wamewataka fb ama twitter kutoa detail za account za watumiaji hapo sawa ila kwa issue hii uloandika wewe haifanan kabisa na issue ya max
Yaani mleta mada kaleta mfano ambao hauendani kabsa huenda kasikia kuna mkuu wa wilaya atatumbuliwa mda si mrefu kaamua kujisogeza karibu achukue Ofisi.
 
Yaani mleta mada kaleta mfano ambao hauendani kabsa huenda kasikia kuna mkuu wa wilaya atatumbuliwa mda si mrefu kaamua kujisogeza karibu achukue Ofisi.
cjui huwa wanapata faida gan kupindisha habari eti....
 
Kwahiyo automatically kwa bandiko lako hili umeshatuthibitishia kuwa Wewe ni mmoja wa Watanzania wachache WANAFIKI na wenye ROHO MBAYA ambao mlifurahia na pengine hata kufanya sherehe baada ya kuona Ndugu Maxence Melo kakamatwa na kusekwa lupango na nina uhakika tena kwa bandiko lako hili hili Wewe ni miongoni mwa Watanzania wachache ambao kutoka kwa dhamana kwa Ndugu Maxence Melo kuliwaumiza sana na mlinuna mno.

Halafu umenishangaza kidogo kwahiyo Wewe chochote ambacho kitatokea tu nchini Marekani basi ni halali na lazima kifuatwe na nchi zingine Tanzania ikiwemo? Kwahiyo Wamarekani wakiamua kutembea u.c.h.i. wa Mnyama kabisa na Wewe utapendekeza Watanzania tuwaige? Na mbona hujafanya reference ya nchi zingine na umeamua ku sample tu Marekani?

Mnachonishangaza Watu humu baadhi yenu hamuipendi JF na mlikasirika Co-Founder wake Ndugu Maxence Melo kutoka kwa dhamana lakini bado tu Members wa JF ambayo inaongozwa na huyo huyo mnayemchukia. Kuna Professor mmoja aliwahi kusema kuwa Watanzania tuna ongezeko la Wasomi ambao wanaongeza kwa kasi sana idadi ya Wapumbavu duniani na sasa kupitia tu uzi wako huu naanza kumwelewa huyo Mzungu japo mwanzoni alipoisema hii kauli niliona kama vile anatudhalilisha.

Mwisho nimalizie tu kwa kukushauri mleta mada kuwa acha kuwa MNAFIKI na KUJIPENDEKEZA wakati dunia yote ya Watu makini sasa inapigania FREEDOM OF EXPRESSION na INTERNET FREEDOM kwa nguvu zote. Nikutakie pia Christmas njema!
reject hilo la SAUT Mwanza katika ubora wake maamaee
 
Baada ya Serikali yetu kumtaka mmiliki wa JF kushirikiana na Serikali kumezuka maneno meengi ya dharau na kejeli dhidi ya Serikali yetu mimi naita dhidi ya Watanzania kwani Serikali inatuwakilisha hasa hasa ktk kwa madiaspora na wengi wao wanaishi USA!

Sasa USA wameamua katika hali inayoonekana kuwa ni hatua ya kwanza ya total surveillance kwa wasafiri wote ambao kwa sasa hawahitaji viza kuingia USA kuweka wazi akaunti zao zote za social media kama twitter, facebook, instagram n.k. bila ya hivyo ni no entry ina the US of Amerikaa!

Halii hii bila shaka itapelekea pia nchi hizo kuwataka raia wa USA pia kuweka wazi social medai accounts zao kabal ya kuingia EU!

Najua hapa JF kwa kuwa kafanya Mzungu, Mwafrika atatoka povu kuteteta na kuhalalisha na kusema hii ni ya Mzungu ni demokrasia na ya kwetu ni udikteta!

Uncle Sam Wants Travelers to Hand Over Social Media Accounts
Hio haina maana ya muwataka facebook. Ni mwenyewe unayetaka kwenda hikouseme tu kuwa ninayo FB na idyangu ni. Hii. Wao wanataka kujua unacho post, kama hakihusiani na ugaidi. Hakuna uhusianao na ufisadi.
 
Huo ni mwanzo tu kumbuka kwamba lengo la kufanya hivi ni kuweza kuwatambua watu, hivyo hapo wameweka optional lkn kuna mambo mengi sana yamejificha nyuma yake, kwa mfano usipojaza kwenye optional wanaaanza kukuhisi kwamba kuna kitu unaficha na kuanza kukufwatilia, kama ingekuwa haina madhara kama ulivyoiweka isingepigiwa kelele, kumbuka anayefanya hivi ni department of Homeland security ambao ndio jamii za akina Tiss wetu ...

hao wamerakani si ndio wanata ndoa za jinsia moja mnaishia kutokwa povu. acha kuhalalisha mambo ya marekani na utashi wako wakati mengine ya haohao wamarekani mnagomea.
 
Hivi huwa mnakuwa serious au just mnaamua kufurahisha jukwaa? Hata kama ingelikuwa kama wewe unavyofikiri, basi ujue kuna tofauti kubwa sana ya kwanini wanahitaji account za watu. Marekani wanaweza kufuatilia account kwasababu za kiugaidi nyie mnataka taarifa za akauti kama mtu amekosoa "positively" utendaji mbovu wa Serikali au amefichua uovu. Jitahidi uwe seriousy kidogo kwenye mambo sensitive.
 
Baada ya Serikali yetu kumtaka mmiliki wa JF kushirikiana na Serikali kumezuka maneno meengi ya dharau na kejeli dhidi ya Serikali yetu mimi naita dhidi ya Watanzania kwani Serikali inatuwakilisha hasa hasa ktk kwa madiaspora na wengi wao wanaishi USA!

Sasa USA wameamua katika hali inayoonekana kuwa ni hatua ya kwanza ya total surveillance kwa wasafiri wote ambao kwa sasa hawahitaji viza kuingia USA kuweka wazi akaunti zao zote za social media kama twitter, facebook, instagram n.k. bila ya hivyo ni no entry ina the US of Amerikaa!

Halii hii bila shaka itapelekea pia nchi hizo kuwataka raia wa USA pia kuweka wazi social medai accounts zao kabal ya kuingia EU!

Najua hapa JF kwa kuwa kafanya Mzungu, Mwafrika atatoka povu kuteteta na kuhalalisha na kusema hii ni ya Mzungu ni demokrasia na ya kwetu ni udikteta!

Uncle Sam Wants Travelers to Hand Over Social Media Accounts
Mnisamehe kuquote hili habari lote lakini huyu kilaza arudi shule maana lugha za watu ngumu...
 
Back
Top Bottom