USA kuishambulia Iran karibuni

USA kuishambulia Iran karibuni

Mdharau mwiba...........Usiwaunderestmate wairani. Wairan wanaongoza kwa Sayansi ya nuclear. Wewe unafikiri wangekuwa hohe hahe America ingekosa usingizi kwa ajili yao? Nilishakutana na wairan wachache wapo vere vere intelligent.

Unajua kuna baadhi ya watu wanafikiri Iran ni waarabu. Lakini Trump amekuwa na akili sana baada ya Intel kumwambia Irana wana macho ya kuona stealth planes, ingekuwa aibu sana kwenye utawala wake kuambiwa kuwa ndege stealth zimetunguliwa na Iran.
 
Unajua kuna baadhi ya watu wanafikiri Iran ni waarabu. Lakini Trump amekuwa na akili sana baada ya Intel kumwambia Irana wana macho ya kuona stealth planes, ingekuwa aibu sana kwenye utawala wake kuambiwa kuwa ndege stealth zimetunguliwa na Iran.
Wale wa Persian wana akili kama mchwa. Tena kwenye Sayansi ya Nuclear na atoms usiwachezee kabisa. Trump mwenyewe kasanda alitanganza kwa mbwembwe kuwa watakiona cha moto. Mbona sasa kabadili uamuzi kuwa hatafanya chochote kuwa ilikuwa bahati mbaya. Iran wamemjibu haikuwa bahati mbaya. Iran is not Iraq,not Afghanistan.
 
Mdharau mwiba...........Usiwaunderestmate wairani. Wairan wanaongoza kwa Sayansi ya nuclear. Wewe unafikiri wangekuwa hohe hahe America ingekosa usingizi kwa ajili yao? Nilishakutana na wairan wachache wapo vere vere intelligent.
Hahaha aisee hivi ushakutana na Wamarekani wenye akili ?

Unakumbuka 1945 ile Manhattan project iliyomtoa Little boy na Fat man ?


Sasa hiyo ni 1945 huko walishakuwa na hizo capabilities ushajiuliza sasa hivi itakuwaje ?

Kuna vitu vingine awali ni awali tu hakuna mbadala wake

Mungu tu aepushie mbali Marekani isije mpata Rais kichaa hii dunia haitakalika
 
Marekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.

na akiingia iran ntaamini marekani mwanaume.
 
Afadhali tumalize ubishi humu,,,,US aende fasta akaone kwa nn mahara ikifika mwezi wa Ramso yanabadika jina,,,,
 
Watu wanamchukulia USA easy sana hicho ndicho kinachonishangaza
Japan alivyoonyesha ukichwa ngumu kwenye vita wamarekani walimtandika Atomic Bom.
Iran iko kwenye level ya utafiti wa ma Nuke, USA anayamiliki bila kudhibitiwa na yeyote halafu uhatarishe usalama wa NEW YORK wakuangalie!!? Kwani minyuklia yao wameitengeneza ya maonyesho!!?

WAIRAN wanadhani wanajitambua.
 
bado tu marekani hajaanza kupiga?
Kwa taarifa yako Marekani huwa hapigi mahali ambapo jamaa wana uwezo wa kurudishia!!!!!! Ndege yao ya kijeshi isiyo na ruban " US Navy MQ-4C Triton drone" waliyoituma kufanya ujasusi juu ya Iran "haikurudi"!!!!! Na hii ni vresion mpya kabisa yenye dhana za kujificha isionekane na dhana za kijilinda isidunguliwe lakini saa hii imebaki majivu!!!!! Mtasubiri sana Marekani kujitutumua kwa Iran!!!!! Aendelee kumwonea Mchina kwa kukatisha kwenye bahari ya china na mimeli yake!!!! Wairan hawajui kubeep!!!! wao ni kupiga tu ukujichanganya kwenye anga zao!!!!! Tukio hili limemwogopesha sana Marekani!!!!! Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
 
Back
Top Bottom