USA baby vs Uingereza baby!

USA baby vs Uingereza baby!

If it wasn't for the USA the UK would have been annihilated by Hitler.

King George VI alikuja Hyde Park kuomba msaada wa Marekani akiogopa kupigwa na Hitler.

Watu hata historia hawajui wanapiga kelele.

USA aliingia kwenye vita baada ya bombing ya Pearl Harbour.
Na pia its the Grand Alliance that saved London siyo USA pekee.
 
bado sijaunganisha kichwa cha habari na picha. lakini jamaa wamenona - mambo mazuri
 
US is way more better than the Uk.

US the only place on earth where one can rise from "rags to riches".

USA the land of opportunity, while the UK is the land of exceptionally tax.
 
Uingereza ,,baby"
b7a54dfd15edb18346c673c5e2461289.jpg


Picha kwa hisani ya Blogu ya Michuzi!
Wa tatu kulia au wa tatu kushoto ndo saizi yangu. Mmoja wapo ananifaa au wote wawili.

Cheupe man, Kasie love cheupez ...... ila huyo wa 3 kulia anaongoza. ........ akili iko kwenye denda tuu hapa..... dendaaa Kasie mie ni shiiiddeeer. ..

I know they have their families...... just chilling no string attached mweeh!!!
 

USA aliingia kwenye vita baada ya bombing ya Pearl Harbour.
Na pia its the Grand Alliance that saved London siyo USA pekee.
Kwa hiyo King George hakuja kuomba msaada?

Grand Alliance iliongozwa na nani?
 
Dah sijui mtu anapata nini anapo isifia GB ama US ,Wakati ni Mtanzania halafu mnasema huku tunahangaika na nzi sijui na mapaka,ila likija swala la uraia pacha mnatokwa na mapovu

Tanzania baby
 
Dah sijui mtu anapata nini anapo isifia GB ama US ,Wakati ni Mtanzania halafu mnasema huku tunahangaika na nzi sijui na mapaka,ila likija swala la uraia pacha mnatokwa na mapovu

Tanzania baby

Mkuu nchi zetu za kiafrika zimeshatushinda bora hao wa huko majuu at least wanakula japo bata kidogo
 
Mzungu akitaka kuja afrika anakuja muda anao taka yeye lakini sisi mwaafrika kwenda ulaya ni bahati.
 
Nyie wapanda vibajaji mnafanyia hivyo wapi?

Kwenye baa zenu huko Uswazi? Baa chafu....mchana nzi halafu usiku zinajaa mbu na mapaka.

FOH!
Hii comment yako kuna elements za kutokujitambua, identity crisis.
 
Mkuu nchi zetu za kiafrika zimeshatushinda bora hao wa huko majuu at least wanakula japo bata kidogo
Bata is a general term,inategemea na utakavyo tafsiri kuendena na aina ya bata na eneo ambalo bata hilo linaliwa.

hata sisi wa huku mavumbini,tunapo kutana kula bata ktk pub/bar/night club zetu zenye inzi na mende,tunajihisi faraja sana pengine kuzidi nyie wa huko ughaibuni kusiko kuwa na vumbi.

Bata batani moja hiyo. Tizii baibeee.
1462255764878.jpg
 
Dah sijui mtu anapata nini anapo isifia GB ama US ,Wakati ni Mtanzania halafu mnasema huku tunahangaika na nzi sijui na mapaka,ila likija swala la uraia pacha mnatokwa na mapovu

Tanzania baby
Wewe uko dunia ipi? nakupa classified hiyo,Magufuli amesha rubber stamp uraia pacha
 
Wewe uko dunia ipi? nakupa classified hiyo,Magufuli amesha rubber stamp uraia pacha
Nipo kwenye Asteroid belt ,oh kumbe swala ilikua ni ku rubber stamp uraia pacha ila sio katiba ? Kwanini Jk hakufanya hivyo kama ishu yenyewe ni kirahisi hivyo ?
 
Nipo kwenye Asteroid belt ,oh kumbe swala ilikua ni ku rubber stamp uraia pacha ila sio katiba ? Kwanini Jk hakufanya hivyo kama ishu yenyewe ni kirahisi hivyo ?
Duuh,uko kwenye Asteroid belt-basi wewe ni Cosmic dust
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom