UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,320
sawa Jupiter trojanDuuh,uko kwenye Asteroid belt-basi wewe ni Cosmic dust
sawa Jupiter trojanDuuh,uko kwenye Asteroid belt-basi wewe ni Cosmic dust
Magufuli baby 😛😛😛😛😛😛It don't matter.
We ain't talking about some freakin 300 or 400 years.
We talking about now nigga.
Who runs the world?
Kumbe hater na mbwembwe zote uko ancient island?Uingereza ,,baby"
![]()
Picha kwa hisani ya Blogu ya Michuzi!
Kwa hiyo King George hakuja kuomba msaada?
Grand Alliance iliongozwa na nani?
SidhaniUnajua chanzo cha hilo neno kwenye rangi nyekundu?
Wivu wa kijingaLengo la thread hii ni nini?!
USA baby....all day every day .
Don't u dare compare that little island to the world's only super power.
Kwa sasa mtumwa ni bwanaWho colonized who?
Live and die in Africa
Bata is a general term,inategemea na utakavyo tafsiri kuendena na aina ya bata na eneo ambalo bata hilo linaliwa.
hata sisi wa huku mavumbini,tunapo kutana kula bata ktk pub/bar/night club zetu zenye inzi na mende,tunajihisi faraja sana pengine kuzidi nyie wa huko ughaibuni kusiko kuwa na vumbi.
Bata batani moja hiyo. Tizii baibeee.
View attachment 344321
absolute world only superpower isiokuwa na maneno mengi bali vitendo tuuUSA baby....all day every day .
Don't u dare compare that little island to the world's only super power.
HahahaaaMagufuli baby 😛😛😛😛😛😛
Live and die in Africa
Wivu sina ila roho inauma......................😵Kadoda uko vizuri...... naona flat abs na bia zote hizo ila no kitambi. .... big up ila usilewe sifa sasa.
Wivu sina ila roho inauma......................😵
Angalau nimepona sasa....Hahahahahahaaa babuuuuuu
Maneno hayo nimezoea kumsikia Valentina akiyasema. ....
Kwani na wewe ni mfuasi wa castle lite? Mi nilijua
we unapiga kamschana aka Kunywa Ongeza Nyegera Yeye Anangoja Giza Iingie.
Babu mie na weye wajua ni uji na mgonjwa...... mie penda wewe mahabuba. .... Muah! !
Babuu shaka ondoa. ... Kasie ni machachari ila kwako Big Sam Kasie ni kachumbari.... shurti niko juu ya pilau kuliwa wa kwanza.....Angalau nimepona sasa....
Mmmhhhhh... nahisi Mungu kanipendelea sana.Babuu shaka ondoa. ... Kasie ni machachari ila kwako Big Sam Kasie ni kachumbari.... shurti niko juu ya pilau kuliwa wa kwanza.....
Rahajeeee. ...
Muah
Mmmhhhhh... nahisi Mungu kanipendelea sana.
Will you marry me??