USA baby vs Uingereza baby!

USA baby vs Uingereza baby!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Uingereza ,,baby"
b7a54dfd15edb18346c673c5e2461289.jpg


Picha kwa hisani ya Blogu ya Michuzi!
 
Wa kwanza kushoto si John Nyoni alikuwa chuo cha ardhi in 90's
 
Thread hii itajadiliwa na Ma niggar!! Wa uswahilini subirini kuangalia maniggar wanavyo teleza!
 
Wanapiga selfie na vyuku aaaf cku si nyingi utasikia mchango wa kurudisha maiti bongo daaah


Hahahahah hahaahahaha hahahahahah hii ni kali kuliko! Tena mpaka huwa wananukuu aya za Biblia ma Misaafu wkt wanaomba michango ya kusafirisha maiti zao, na ole wako uwahoji utasikia wewe haujui kufa na watakupa maneno ya kukulaani mpaka utachanganyikiwa!
 
Wanapiga selfie na vyuku aaaf cku si nyingi utasikia mchango wa kurudisha maiti bongo daaah
Hawa jamaa wanautajiri wa lugha tu ya mzungu kwingine sijui wapo fity hadi kwenye $ na £
 
Ngoja nikae pembeni kujifunza misamiati mipya ya kiingereza kwa kupitia hii thread.maana wafuasi wa hizi nchi kwa misamiati nawakubali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom