Leo jambo hili nalirudia hapa kwa mara ya pili. Hapa Golden Plaza "joint venture " wa NHC anatufanyia maajabu. anatutoza Huduma za umeme wa TANESCO, maji ya kisima chumvi tupu na walinzi wasio hata na redio kwa fedha za kimarekani. Tufanyeje ili sheria ichukue mkondo kwani si haki kutoza huduma hizi kwa $. Mbaya sana kasahinisha watu mkataba unaoonyesha kuwa huduma zi ktk $ japo kisheria kumbe ni mtanzania mwenzetu! TUSAIDIENI fisadi huyu tumtie hatiani. Kwani kodi ya NHC tunailipa kwa Tshs.