Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,320
- 24,189
Kigogo wa Serikali ya Marekani aliyeingia nchini na kukutana na Mama Samia, ameonana vile vile na wapinzani.
Under Secretary of State Victoria Nuland wa Marekani, kigogo wa ngazi za juu wizara ya mambo ya nje , ameonana na kuongea na Mnyika wa CHADEMA na Zito wa ACT Wazalendo leo 4/08/2021.
Sijui wameongea nini?