US Under Secretary of State Victoria Nuland akutana na Mnyika na Zitto

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,320
24,189
nuland-pic.jpg

Kigogo wa Serikali ya Marekani aliyeingia nchini na kukutana na Mama Samia, ameonana vile vile na wapinzani.

Under Secretary of State Victoria Nuland wa Marekani, kigogo wa ngazi za juu wizara ya mambo ya nje , ameonana na kuongea na Mnyika wa CHADEMA na Zito wa ACT Wazalendo leo 4/08/2021.

Sijui wameongea nini?
 
What profit hath a man of all his labor which he taketh under the sun? One generation passeth away, and another generation cometh, but the earth abideth forever. The sun also riseth, and the sun goeth down, and hasteth to his place where he arose. The wind goeth toward the south, and turneth about unto the north, it whirleth about continually, and the wind returneth again according to his circuits. All rivers run to the sea, yet the sea is not full, unto the place from whence the rivers come, thither they return again. All things are full of labor, man cannot utter it: the eye is not satisfied with seeing, nor the ear filled with hearing.

ECCLESIASTES
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
 
View attachment 1880210
Kigogo wa Serikali ya Marekani aliyeingia nchini na kukutana na Mama Samia, ameonana vile vile na wapinzani.

Under Secretary of State Victoria Nuland wa Marekani, kigogo wa ngazi za juu wizara ya mambo ya nje , ameonana na kuongea na Mnyika wa CHADEMA na Zito wa ACT Wazalendo leo 4/08/2021.

Sijui wameongea nini?
Sirro a.k.a 0 brain anazidi kujiabisha
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa.
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Mwambieni msajili wenu aifute
 
View attachment 1880210
Kigogo wa Serikali ya Marekani aliyeingia nchini na kukutana na Mama Samia, ameonana vile vile na wapinzani.

Under Secretary of State Victoria Nuland wa Marekani, kigogo wa ngazi za juu wizara ya mambo ya nje , ameonana na kuongea na Mnyika wa CHADEMA na Zito wa ACT Wazalendo leo 4/08/2021.

Sijui wameongea nini?
Mbona kwenye heading hujamtaja Propesa Lipumbavu?
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa.
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.

Ungekulia na machozi kabisa
 
Hi
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa.
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Hivi wewe Kila siku eti Tanzania ni sovereign state unapoandika huwa umebana pua au mata** WAKATI uhuru wenyewe mlipewa Kama maandazi unanikera Sana na kauli yako hii inayoonyesha uelewa wako mdogo
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
Mkuu wewe umejazwa ujinga wa kutofikiri.
Katiba haijabadilishwa, na kutoka vyama vya upinzani kuna akili nzuri tu mbadala.
Ukibaki na akili za kijijnga ndio hapa tulipofika.
Pls note, Under Secretary hakuonana na Katibu Mkuu wa CCM.
 
Hi

Hivi wewe Kila siku eti Tanzania ni sovereign state unapoandika huwa umebana pua au mata** WAKATI uhuru wenyewe mlipewa Kama maandazi unanikera Sana na kauli yako hii inayoonyesha uelewa wako mdogo
Unaaumia ukiwa wapi?

Mkenya mkubwa wewe, Kwa hiyo kama tulipewa uhuru unatakaje?
 
Mkuu wewe umejazwa ujinga wa kutofikiri.
Katiba haijabadilishwa, na kutoka vyama vya upinzani kuna akili nzuri tu mbadala.
Ukibaki na akili za kijijnga ndio hapa tulipofika.
Pls note, Under Secretary hakuonana na Katibu Mkuu wa CCM.
wacha kuchanganya habari, tatizo hapa sio katiba mpya, Rais alikuwa muwazi kabisa na aliweka msimamo wake kama kiongozi wa nchi, kwa maana hiyo hakuna sababu ya kuunganisha tuhuma zinazo mkabili Mbowe na Madai ya katiba.
tuhuma za mbowe zimefikishwa mbele ya mahakama hivyo hatakiwi mtu yeyote kuingilia majukumu ya mahakama.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Ugaidi wa Mbowe na madai ya Katiba, ila viongozi wa chadema kwa makusudi wanapotosha uma na dunia kwa masilahi yao, hili halikubaliki.
kama nchi tusikubali upotoshaji na uchafuzi unao fanywa na viongozi na wanaharakati wa chadema.
 
View attachment 1880210
Kigogo wa Serikali ya Marekani aliyeingia nchini na kukutana na Mama Samia, ameonana vile vile na wapinzani.

Under Secretary of State Victoria Nuland wa Marekani, kigogo wa ngazi za juu wizara ya mambo ya nje , ameonana na kuongea na Mnyika wa CHADEMA na Zito wa ACT Wazalendo leo 4/08/2021.

Sijui wameongea nini?
Mwanzo mzuri!
 
Unaaumia ukiwa wapi?

Mkenya mkubwa wewe, Kwa hiyo kama tulipewa uhuru unatakaje?
Hamna sovereign ya kiwango hicho unachofikiria hebu jiulize katambi anaweza kwenda USA na akakutana na viongozi wakuu wa upinzani ghafla ghafla Kama ilivyotokea Tanzania Jana?
 
U
wacha kuchanganya habari, tatizo hapa sio katiba mpya, Rais alikuwa muwazi kabisa na aliweka msimamo wake kama kiongozi wa nchi, kwa maana hiyo hakuna sababu ya kuunganisha tuhuma zinazo mkabili Mbowe na Madai ya katiba.
tuhuma za mbowe zimefikishwa mbele ya mahakama hivyo hatakiwi mtu yeyote kuingilia majukumu ya mahakama.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Ugaidi wa Mbowe na madai ya Katiba, ila viongozi wa chadema kwa makusudi wanapotosha uma na dunia kwa masilahi yao, hili halikubaliki.
kama nchi tusikubali upotoshaji na uchafuzi unao fanywa na viongozi na wanaharakati wa chadema.
Tuhuma za Ugaidi wa mwaka Jana Tena kipindi Cha nduli mlimuacha mbowe bila kumkamata ila mnakuja kumkamata usiku wa kuamkia kongamano la katiba mpya, ndio maana tumasema ccm wamejaa wakina siro|ziro wengi Sana hata mbinu zenu ni za kitoto kabisa Sasa angalieni mnavyokwenda kuaibika kesho,
 
Back
Top Bottom