lavian
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 722
- 330
Af anamtengenezea maadui.mfano ni ukrainejamaa ni shida hawa.....tabu kubwa sasa hawa jamaa wana design nyingi yaan wanaweza wakawage economic warfare hadi ukaipata...maana nchi km urusi kupigana nayo lazima isumbue sana sasa jamaa wanakazi ya kuharibu uchumi wake daily yaan russia matatizo ya uchumi huwaga hayaishi kila cku yanazaliwa mapya,kitu kingne kinachonshangaza pamoja na ile population yao ina muingiliano mwing vile wanawezaje kuwa organized vile kwenye mambo yao!!!
Jamaa ukiachana na vifaa wana mbinu nyingi
We angalia walivyompindua yule rahisi kiurahisi kabisa