pale syria mazee ziko system mbili,kuna S-300 na S-400,na zote ziko operational,ndege za marekani na washirika haziwezi kuruka bila kuwapa taarifa warusi.
Na hata israel kuna makubaliano walifanya na warussi ili wawe wanakausha pindi ndege zao zikiingia syria kusini,na pia mpaka sasa ndege za russia zimeshaaingia ndani ya israel mara 2 na kwa ajili ya makubaliano yao waisrael nao inabidi wakauke badala ya kuripua,
kuhusu mapungufu ya ndege za wamarekani F-22 ama F-35 mbona hata media za magharibi zinaweka wazi?.
Soma debka.com ya leo utaona wanavyoijadili F-35.
Ndege za russia zipo chache syria lakini zinaweza fanya sorties kwa siku moja kuzidi ndege za wamarekani na washirika wake wanaeza fanya kwa mwezi,hicho pekee ni kiashiria cha ubora wa ndege za russia dhidi ya zile za america