US preparing to approve advanced long-range rocket system for Ukraine 

Hivi kwa akili yenu kabisa mnaona marekan anaweza akampa Ukraine makombora ya masafa marefu yanayoweza kushambulia hadi ndani ya mipaka ya urusi kweli?

Kama tu kupeleka mfumo wa kujikinga na makombora na no flying zone mpaka leo hawajapeleka Ukraine kwa kuhofia kuibua vita kubwa baina ya Russia na USA leo hii ndo mnafikri kuwa USA anaweza peleka hayo makombora kweli?

USA siyo mjinga mjinga hivo kwenye medali za kivita kama vichwa vyenu vinavyofikiri.
Anachokifanya sasahivi nikumpaka mgonjwa uji mdomoni kisha anaurudisha kwenye bakuri uendelee kupoa.

Anaesubiri hayo makombora yafike Ukraine nisawa na kusubiri kuokota parachichi kwenye mkungu wa ndizi.
 
Hakuna unachoongea yaani ni bangi tupu..!!
 
Hata chanjo walizotumia walipozaliwa ni msaada wa Marekani

Dawa za Ukimwi

Dawa za malaria

Net za mbu
 
Mkuu ukiitaja Marekani unazungumzia zaidi ya nchi 30 duniani tena mataifa yenye nguvu zaidi duniani, hili liweke katika akili yako labda umepepesa
 
Maskini usichokijua nikwamba RUSSIA anainternet yake inayojitegemea
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ana Internent yake inajitegemea mbona kapigwa pin vyombo vyake vya habari na hakuna kitu kafanya? Hebu jisomee hapa chini


"Russia even has its own suite of Microsoft-style office software, but experts said the efforts have fallen far short of Putin's goals. A Russian official said last week the country had no plans to disconnect from the internet.15 Mar 2022"
 
Unawasema pro-Russia lakini na wewe maandishi yako yanaonesha ni pro-west/Amerika ingawa wote tupo Mtoni kwa Azizi Ali na wote tunajifurahisha; ajabu sana
Yes mimi ni Pro West kwani hili nalo ni siri? Au umeanza leo kunijua msimamo wangu
 
We are tired with Russian federation let this happen.
 
The Polish army has begun deploying its troops along the Ukrainian border to occupy western Ukraine. Belarus's president has said that if #Poland launches a military operation in #Ukraine, #Belarus will launch an offensive in the western part of the country.
#UkraineRussiaWar https://t.co/rVNl4tjzsn
 
Kua na internet yakuzuii kutotumia net ya wengine
Hvyo vyombo vyahabari vinafungiwa kwenye mitandao mfano JF IG nk
Au unadhani habari za RUSSIA zinakuja kwa barua!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Propaganda! Marekani hawezi kufanya hilo kosa hata kidogo kwani linaweza kuhatarisha kambi zake nyingi za kijeshi zilizosambaa duniani
Mkuu,Lolote linawezekana.Vita ni Vita
 
Haya ndo yale mahaba tunayozungumzia kila wakati. US ana nini ambacho Russia hana au unafikiri Russia hawezi anzisha internet yake. Wamemfungia GPS ila anatamba hewani kama kawaida na GPS yake
Wewe hebu nenda katumie hiyo internent ya Russia kama ipo,yani unazomoka hapa 24/7 kwa msaada wa Internent ya US halafu waleta madharau.Hiyo GPS ya Russia ndiyo imekufanya u login in hapa JF?
 
Kahawa chungu sana hii,hebu tengeneza walau Cappuccino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…