Kuna mpango kabambe wa UN kutumia/invoke article 6 ya UN charter kutimua US kusitisha kua mwana chama UN tena na veto power yake itakua no more.
US imekua kizingiti kikubwa kwenye Amani ya dunia kufanya UN kuonekana kama toothless dog or mbwa isio kua na meno, hususani katika jukumu lake la kulinda world peace and traquility,
US imetumia Veto power yake mara tano kuzuia usitishaji wa mauaji kule Gaza yanao fanywa na Isreal hili limefanya UN kuonekana kama bogus international organisation.
Je US akitimuliwa UN tutegemee Amani ya dunia itapatikana? Au ndo tutapoteza Amani zaidi.
Nb
Kama hujaelewa mada au una ongozwa na mihemuko ya kidini tafadhari usicomment pita zako tu.
US imekua kizingiti kikubwa kwenye Amani ya dunia kufanya UN kuonekana kama toothless dog or mbwa isio kua na meno, hususani katika jukumu lake la kulinda world peace and traquility,
US imetumia Veto power yake mara tano kuzuia usitishaji wa mauaji kule Gaza yanao fanywa na Isreal hili limefanya UN kuonekana kama bogus international organisation.
Je US akitimuliwa UN tutegemee Amani ya dunia itapatikana? Au ndo tutapoteza Amani zaidi.
Nb
Kama hujaelewa mada au una ongozwa na mihemuko ya kidini tafadhari usicomment pita zako tu.