US Election Coverage 2008

i think she is more qualified than obama and that's why i was more than willing to support her and ignore my differences with her. Hakuna mtu ninayekubaliana naye mia kwa mia. Hata mimi mwenyewe sikubaliani na mimi mia kwa mia (if that makes sense).

and what about issues?????????
 
Wimbo gani ambao akina Obama waliambiwa waache kutumia? babu yako hii ni mara ya 5!!!! Acha ushabiki, kubali kwamba wasaidizi wake Babu ni wazembe sana!

Jaribu ku-google....sikumbuki mwimbaji.....

Hata kama wakituambia tuache kutumia wimbo wao pouwa tu....

Tunajua Hollywood crowd haiko na haijawahi kuwa upande wetu but guess what...middle America is and that's where elections are won and not in the hills of Beverly Hills nor Hollywood. McCain ka-face challenge ngumu kushinda hiyo ya kuambiwa asitumie wimbo. Na kutotumia wimbo sio mwisho wa dunia wala kampeni.

BTW, nimesikia eti Oprah hataki kumwalika Sarah Palin kwenye show yake....hahahahahaa....I don't recall Bush, Bush, Reagan, or Nixon being invited to the Oprah show....and guess what.....they were presidents.....
 
and what about issues?????????

Mama is tough on defence and security. She's a hawk. She would have been very tough on the war on terror na asingekutana na Ahmadinejad bila pre-conditions...
 
Mama is tough on defence and security. She's a hawk. She would have been very tough on the war on terror na asingekutana na Ahmadinejad bila pre-conditions...

....acha kuchekesha wewe,campaign strategy za Obama sasa Bush yuko busy kuzitumia na zinafanya kazi,si umeona Condeleeza sasa yupo Tripol na Ghadafi,dunia ya leo lazima uongee na watu na mavita hayana nafasi na hayasaidii chochote,angalia tangu Bush aanze kuongea na hao mnaowaita enemy yamefanyika makubwa kwa miezi sita kuliko miaka nane ya ubabe wake...kubali obama is genius na mkijifungia vyumbani mnakubali,cant wait Obama achukue WH nione embargo za Cuba zitakavyoondolewa kama kunywa kahawa na everybody kuwa happy!
 
McCain TV Ratings Beat Obama in Preliminary Numbers

By Andrew Krukowski

Presidential candidate John McCain's acceptance speech at the Republican National Convention drew more television viewers than his rival Barack Obama attracted at the Democratic party's event last week, according to preliminary ratings from Nielsen Media Research.

Across all broadcast networks Thursday, Sen. McCain's speech ended the night with a 4.8 rating/7 share, compared to Sen. Obama's 4.3/7 average, according to overnight numbers from metered households in 55 U.S. markets measured by Nielsen. These ratings are preliminary, however, and are subject to change.

NBC's coverage of Sen. McCain's speech started directly at the tail end of the opening game of NFL season, with the speech pulling in a 6.3 rating/10 share, topping Sen. Obama's speech last week by 26%. That lead-in may have boosted audiences who last night turned out in droves to watch Republican VP candidate Sarah Palin introduce herself to the country.

ABC's showing of the McCain speech averaged a 4.5/7, down 2% from the same night of the Democratic convention last week, while CBS' coverage took in a 3.4/5, an increase of 3%.
 

Ronald Reagan, Arnold Schwarzenegger, Fred Thompson, need I continue?
 
....ndiyo, kama unaweza ukajibu fanya hivyo tafadhali.

I disagree with her Iraq war statement, will that statement make any difference politically for Sarah Palin? No.

.....can time and population determine who is mainstream American? if so, who are the currently mainstream Americans?

I don't think you can determine who is mainstream American by time and population alone. It's a combination of factors. Basically these people believe in America, think it is the best country in the world despite its problems. They themselves have served the country in some way or another (e.g. war veterans) or have sons and daughters or close family member currently serving the country. They get and work hard every day to live a comfortable life. They are god-fearing etc.
 
NM, vipi jana Obama alimfunika O'Reilly maana naona huzungumzii hiyo kitu.....
 

..namba za kutengeneza hizo!
 
NM, vipi jana Obama alimfunika O'Reilly maana naona huzungumzii hiyo kitu.....

Come on now...the story of the day was John S. McCain and in the wake of Sarah Palin's breathtaking and jawdropping introduction and perfomance, no one, including I yours truly, gave a hoot about that manchild called Obama making his debut appearance on the O'Reilly factor.

Kudos to Bill though....he finally got Obama to admit that the surge has worked....something he's been in denial about....
 

..hata liberals pia wana imani hizo hizo! inashangaza kuona republicans wanajifanya wana ownership ya hizo "american values." kwahiyo Vitter, Craig na Rush Limbaugh nao pia ni god fearing?? please.....
 
...hahahaaaaa....hao ni d-listers.....please continue....

D-listers au huwajui? huu ushabiki wa Yanga na Simba mimi siuwezi.

Kazi kwenu
AP - The nation's unemployment rate zoomed to a five-year high of 6.1 percent in August as employers slashed 84,000 jobs, dramatic proof of the mounting damage a deeply troubled economy is inflicting on workers and businesses alike.
 

Ni d-listers....

vipi kuhusu Obama na surge...?
 
Nyani!!! Nime-google nimepata tarifa hizi kuhusu copyright infringement zote za Babu yako!!!
Lakini kwa nini hawakutumia wimbo wa Gasolina????!!!!! Si Daddy Yankee alim-endorse????? Kwikwikwi mzee wa Gasolina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…