Kwa kusema kweli mi nafurahi Obama anapata challenge kubwa katika debate. What doesn't kill you makes you strong! This debate made Obama stronger kwa sababu recently alikuwa anaanza kuonekana kama 'wimp' ambaye anawaogopa akina Clinton! I think that the fact that for the second part of the CNN debate, ma man Barack aliweza kuleta humour several times came down very well! I mean alijoke about Bill being 'Black' kwa kusema lazima acheki dancing yake! I like that! Maswali ya kipuuzi unayajibu with humour. Lakini HIllary aliendelea kuoneana kama robot.
Cha ajabu also Hillary alizomewa! Sijawahi kuona! That is bad news for Hillary!
thanks Icadon,naona Shirley Franklin kamshushua kweli Bill! Yaani naona ninakosa mambo mengi maana time difference inatuumiza kama debate hii ya leo ya CNN imetufanye tuamke 4 am hapa Bongo kufaidi debate.
Kuhusu west, mi nadhani Obama will continue to do well, kwa sababu leo inaonekana aliweza kuongea vizuri alipoulizwa kuhusu race, alisema he is for issues that cuts across.
BIckering ya Clinton na Obama can go anyway now, but let me tell you, I had an epiphany and I feel that the brother has exceptional advisors, who are good strategists.
Obama can afford to be confrontational at this stage and he actually had to be because:
- he was irritating young AA who felt that he was taking on the servitude attitude with the Clintons. Remember during slavery and later during the struggle, a white kid anamtukana a Black grown man na he had to say 'Yessir!" So many AAs (especially young) feel that they have earned the right at the table and don't need to be 'nice and civil' while whites get nasty.
- South Carolina is very important for Obama campaign and he needs a win in order to get momentum going to Super Tuesday, so by 'keeping it real with the brothers and sisters' he is winning them over. He can afford to be confrontational now as he will get more support NOW.
- Hillary may just as well loose from this bickering and in the second part of the debate, Obama made a point that he was under attack 'because I am ahead'. And he was full of humour and very generous hivyo kufuta impressions zote negative.
CNN's poll of undecided Democrat voters who were monitoring the debate shows that a large number said that Edwards won the debate by staying above petty politics but more than half of them said that they will vote for Obama because he is electable and represents more closely what they beleive in.
Mzee unasahau kwamba huyu Hillary yuko kwenye senate 6 yrs now.. na amekuwa active senator!
Tuache upendeleo na dharau.. Hillary ana-make sense kwenye hoja zake kuliko Obama!
Wengi tunamshabikia Obama sababu ni First-serious Black Presidential candidate.. lakini si kwa mpangilio wa hoja zake!
Natabiri majimbo mawili zaidi kwa Obama.. South Carolina na Illinois.. yaliyobakia feb 5 atanyoosha mikono na story itabadilika.. kama pundits wa kimarekani walivyobadili story baada ya matokeo ya New Hampshire!
Nyani Ngabu, first let's get things straight,
Obama won MORE delegates in Nevada and equal delegates in New Hampshire - he lost by less than double digit margins. In NH it was 3% points in NV 6% points. Overall Obama has more delegates than Hillary (38 vs 37)
A month ago he was double digits behind Hillary.
Obama campaign is doing an excellent job to shore up support as it is his first run for presidentcy. Hillary has the entire Clinton machinery behind her, set up decades ago.
Saying that the crowd was partisan because they were Black is offending to every Black! This had nothing to do with race! She's a democrat. They were Democrat congressionals. And she brags with hubby Bill that they have so much endorsement from Black 'leaders' so where was that support?
Sikatai kwamba HIllary alipewa applause but sijawahi kuona debate ambapo front runner anazomewa NEVER!
It is bad news.
..i have watched the debate too. I think mapenzi aside John Edwards won by staying on the message.
..Hillary was booed one time. But she was also cheared several times. Barack was cheered and not booed in the entire debate.
..Obama is a grand vision candidate, while Hillary is a details and policy candidate.
..Yes, the stuff Obama and Hillary threw at each other is gonna be picked up by GOP.
..I have infact read Karl Rove mentioning Obama voting "present" in Ilinois senate. More than 100 times!!
..Wal-mart is anti-union, and it is bad for a democrat to be associated with. But Republicans are anti-unions too, so I dont think they will come out and attack Hillary for association with wal-mart.
..I dont think GOP will spare Obama for his association with Rezko, someone Hillary refered to as a slumlord. I checked and Rezko was recently charged with fraud and other crimes.
..This thing is leaning towards being about RACE. Why are all these Black elected officials and leaders coming out to speak for Obama. If Clinton said something about Obama why not leave it to Obama to deal with?
..If it is not about RACE let me hear from Al-Sharpton or Jesse Jackson criticizing Obama for what he said about Ronald Reagan. As far as I am concerned Reagan was famous for demonizing the Black community in the USA.
..I think it is wrong to deminish Hillary as just a spouse of former governor and president. As she said b4 she was not just sitting at home "baking cookies!"
..I am very worried about Obama. I hope....I hope he doesnt come out South Carolina as another Black candidate.
Actually Obama amepigwa madongo mengi na black leaders kuliko hata Clinton. Obama amekuwa criticized na Andrew Young several times pamoja na kuitwa kuwa sio black enough, akaja Bob Johnson akampiga madongo tena baada ya hapo akaja kile kibabu Charles Rangel ambaye alifikia kumwita Obama Stupid na dumb. Hiyo assertion yako kuwa Obama anasaidiwa na viongozi wengi weusi sio kweli...i have watched the debate too. I think mapenzi aside John Edwards won by staying on the message.
..Hillary was booed one time. But she was also cheared several times. Barack was cheered and not booed in the entire debate.
..Obama is a grand vision candidate, while Hillary is a details and policy candidate.
..Yes, the stuff Obama and Hillary threw at each other is gonna be picked up by GOP.
..I have infact read Karl Rove mentioning Obama voting "present" in Ilinois senate. More than 100 times!!
..Wal-mart is anti-union, and it is bad for a democrat to be associated with. But Republicans are anti-unions too, so I dont think they will come out and attack Hillary for association with wal-mart.
..I dont think GOP will spare Obama for his association with Rezko, someone Hillary refered to as a slumlord. I checked and Rezko was recently charged with fraud and other crimes.
..This thing is leaning towards being about RACE. Why are all these Black elected officials and leaders coming out to speak for Obama. If Clinton said something about Obama why not leave it to Obama to deal with?
..If it is not about RACE let me hear from Al-Sharpton or Jesse Jackson criticizing Obama for what he said about Ronald Reagan. As far as I am concerned Reagan was famous for demonizing the Black community in the USA.
..I think it is wrong to deminish Hillary as just a spouse of former governor and president. As she said b4 she was not just sitting at home "baking cookies!"
..I am very worried about Obama. I hope....I hope he doesnt come out South Carolina as another Black candidate.
Geeque,
..sasa Hillary amepigwa mawe na weupe na wanawake wangapi?
..ninachojaribu kueleza hapa ni kwamba hawa weusi kuamua kumsemea Obama.
..kama Clinton akimu-attack Obama basi wacha Obama ajitetee mwenyewe.
..je, ulisikia mweusi yeyote akimtetea Clinton kuhusu mchango wa Lyndon Johnson[LBJ] ktk civil rights?
..hivi hao weusi hawajui kwamba Democrats wana-loose South tangu LBJ alipo-support civil rights?
NB:
Naomba tu ifahamike kwamba Democrats kilikuwa chama cha Maracist wa Kusini ya Marekani. Tangu Raisi Lyndon Johnson aunge mkono civil rights basi Democrats wamekuwa na wakati mgumu sana kushinda south.
Kwangu mimi kampeni hizi ziliingia sumu ya UBAGUZI/RACE pale ilipobidi Mzee Clinton azunguke kujieleza[damage control] kwa Black Americans pale Hillary aliposema kwamba LBJ kama Raisi ana nafasi na umuhimu ktk civil rights.
Sasa hao waliomshauri Obama amu-attack Hillary kuhusu LBJ wana nia gani na Obama? Hivi wanamsaidia kweli?
Nyani Ngabu,
..Yule Congressman aliyesema ameamua kumu-endorse Obama kama adhabu kwa kina Clinton kuhusu MLK vs LBJ comments wewe uliionaje?
..Ronald Reagan ni mtu mbaya sana kwa watu weusi. aliwadhalilisha sana ndugu zetu hawa. walikuja kupumua wakati wa Clinton.
..Kinachonishangaza ni Black Americans wamekaa kimya kuhusu kauli ya Obama. Then ppl say this is not about RACE/BLACK CANDIDATE?!!
..Nampenda Obama, but I wish kungekuwa hakuna hiyo caucas ya South Carolina.
Nyani Ngabu,
..Yule Congressman aliyesema ameamua kumu-endorse Obama kama adhabu kwa kina Clinton kuhusu MLK vs LBJ comments wewe uliionaje?
..Ronald Reagan ni mtu mbaya sana kwa watu weusi. aliwadhalilisha sana ndugu zetu hawa. walikuja kupumua wakati wa Clinton.
..Kinachonishangaza ni Black Americans wamekaa kimya kuhusu kauli ya Obama. Then ppl say this is not about RACE/BLACK CANDIDATE?!!
..Nampenda Obama, but I wish kungekuwa hakuna hiyo caucas ya South Carolina.
Actually Obama amepigwa madongo mengi na black leaders kuliko hata Clinton. Obama amekuwa criticized na Andrew Young several times pamoja na kuitwa kuwa sio black enough, akaja Bob Johnson akampiga madongo tena baada ya hapo akaja kile kibabu Charles Rangel ambaye alifikia kumwita Obama Stupid na dumb. Hiyo assertion yako kuwa Obama anasaidiwa na viongozi wengi weusi sio kweli.