Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,149
- 137,116
Nyani: lakini hell hath no fury like a woman scorned..... watch Hutchinson.... she is woman GOP and respected and pissed off.....
Sasa Palin wanashindwa hata GOP wenzake kumsifia ni tatizo...
Hmmm kuna kazi hapa especially kwa maredneck wa huko kusini kwenu ambao bado wanawachukulia wanawake kuwa wako chini yao.....
NN njoo Sugarloaf kesho kwenye ufunguzi wa Obama-Biden 08 Office, mlo wa mchana na jioni juu yangu.
Bring it on McCain/Palin
ila hii choice ya McCain imedhihirisha kwamba huyu jamaa ni real soldier,kwamba ni mtu mwenye mustendi wa kipekee, kulingana na pressure za campaign zilivyo, halafu kuibuka na choice kama hii, Mcain kadhihirisha kuwa he is the man of his own!.
'our dear friend' the truth - an ardent supporter of gop in particular gov jindal, has been lobbying babu yake nyani relentlessly for the vp position for this indian origin governor - jindal. The governor has expressed bitterness about the vp choice of babu makopo - ms palin "she has no expereince in anything, i have been a governor for a longer period of time. She claims to be religious but i have faced the devil in exorcism. I cannot understand the choice" said jindal.
His friend, colleague and lobbyist - the truth - said he had no further comment and within an hour was spotted near the entourage of democratic nominee barack obama smiling.
this unprecedented partyline switch has been received with muted silence on the republican side and with amusement from the obama team.
Karibu sana the truth, we are happy that you see the light.
Tuachane na kina Obama, tuwaze namna ya kuwang'oa mafisadi wa CCM 2010.
Tuachane na kina Obama, tuwaze namna ya kuwang'oa mafisadi wa CCM 2010.
Umeingia kwenye basi usilojua linaelekea wapi???? Hebu shuka usome kibao kwanza. Thread inaeleza wazi inahusu nini wewe unataka kuleta mambo ya CCM huku???
Umeingia kwenye basi usilojua linaelekea wapi???? Hebu shuka usome kibao kwanza. Thread inaeleza wazi inahusu nini wewe unataka kuleta mambo ya CCM huku???
Huyu Michelle naye akatafute nguo za maana sasa hivi visempele vyake vya mwaka 47 aachane navyo. Leo asubuhi nilikuwa naangalia mahojiano ya Whoopy na CNN akasagia sana kigauni alichokivaa siku alipotoa hotuba kwenye convention. Sasa hapa sijui ndiyo kavaa kituko gani.