US Commander Campbell: The man behind the failed coup in Turkey

US Commander Campbell: The man behind the failed coup in Turkey

Source ya picha hata kama inajazia hoja yako ni muhimu sana kati uwasilishi wa hoja. Samahani kama nimekukwaza
Ni sawa lakini iangalie katika mtazamo mpana zaidi kwakuwa hata hao wanaomkanyaga huyo mzungu ni waafrika wakati mada ni kuhusu Uturuki
Kikubwa nilitaka kuonyesha chuki dhidi ya wazungu..
Otherwise asante kwa ufafanuzi
 
Labda, ila 1.sinaga formula ya kuamin kila kinachoandikwa kwenye interner otherwise nikithibitishe kwa taarifa ya habari 2. Ya ngoswe muachie ngoswe.
Inawezekana ni kweli , katima hii dunia hakuna linaloshindikana, tusubir taarifa za uhakika zaidi,
Vipi kuhusu zile email za wikileaks nazo zimetoa majibu gan??

Wao wakipigana nawachora tu kwenye kideo changu HD..
 
Ni sawa lakini iangalie katika mtazamo mpana zaidi kwakuwa hata hao wanaomkanyaga huyo mzungu ni waafrika wakati mada ni kuhusu Uturuki
Kikubwa nilitaka kuonyesha chuki dhidi ya wazungu..
Otherwise asante kwa ufafanuzi
Asante kwa uungwana wako. Nadhani hapa JF watu kama nyie mnatakiwa kuwa mentors wa vijana walio wengi ambao wanachukua mikoba kwa sasa
 
Labda, ila 1.sinaga formula ya kuamin kila kinachoandikwa kwenye interner otherwise nikithibitishe kwa taarifa ya habari 2. Ya ngoswe muachie ngoswe.
Inawezekana ni kweli , katima hii dunia hakuna linaloshindikana, tusubir taarifa za uhakika zaidi,
Vipi kuhusu zile email za wikileaks nazo zimetoa majibu gan??

Wao wakipigana nawachora tu kwenye kideo changu HD..
Mkuu kuna trusted source through Internet na hizo taarifa za habari wengine huchukulia huko matukio na kuyarusha ktk tv zao
 
Mkuu kuna trusted source through Internet na hizo taarifa za habari wengine huchukulia huko matukio na kuyarusha ktk tv zao
hilo nakubali mkuu ila siamin kila kitu kinachoandikwa online kwa maana. Internet ni free nakila mtu anaruhusiwa kuandika anachojiskia.. Ila zipo source trusted za kina cnn,al jazeera, fox news, n.k ...
Asante mkuu
 
Mkuu kuna trusted source through Internet na hizo taarifa za habari wengine huchukulia huko matukio na kuyarusha ktk tv zao
Hii habari itakua imetoka sputniknews.com hicho ndicho chombo ambacho 24/7 kinarusha habari za propaganda kuhusu marekani, Sina upande kwa kweli lakini nimejifunza kitu

Nikitazama cnn, BBC, aljazeera utaona wanahangaika na habari mbali mbali za kimataifa ikiwemo uchaguzi wa marekani lakini hii sputniknews.com ya Russia 24/7 ni mbaya tupu za marekani, purely propaganda news against western States, na mbaya zaidi habari zao ni mawazo ya mchambuzi flan ambayo yanakua ni mtazamo binafsi wa huyo mtu lakini sputniknews.com wataiweka kama headline
Walau habari zao zingekua za kiuchunguzi lakini sio, ni mawazo na uchambuzi wa wadau tena watu wengi wanaofanya uchambuzi kwenye media hiyo ni very staunch anti American, unategemea nn hapo?

Mwenye kuleta hii habari ameitoa sputniknews.com, lakini kwa kuwa anajua watu wengi hatuiamini hiyo media house akaamua kuondoa source pale mwisho wa taarifa
Na kwa kuwa anajua ukitaka ushangiliwe na wana jamii forum na upate comments nyingi basi andika jambo ambalo ni anti America
 
Uturuki ni taifa lilioendelea kiasi likawa limeingia jumuiya ya Ulaya. Kama mapinduzi hayo ya kijeshi yangefanikiwa taifa hili lingerudi nyuma sana kama Syria. Mungu awabariki wajipange upya na wadhibiti wanajeshi wenye tamaa wakishirikiana na USA.
Wawakamate waliofanya Mapinduzi na kuwanyonga ili iwe fundisho kwa wengineo watakaojaribu kufanya tena
Kumbuka kwamba United States of America (USA) Wanazalisha silaha nyingi duniani, na zinachangia asilimia 3 mpaka 7 katika uchumi wao. Kwa iyo nadhani wanategemea sehemu nyingi ya dunia iwe na vita ili uchumi wao unyanyuke ili wazalishe silaha nyingi. United States of America ni nchi ya Kinafiki sana apa duniani, kwa iyo dunia nzima inatakiwa kuwa makini sana
 
Hakika kama ni kweli hii inadhihirisha kuwa makundi yanayojiita ya kigaidi au kiislam kuwa ni ya wenyewe
Kwani ulikuwa hujui ilo. Tangu Long time tulishasema kuwa ISIS sio wapiganiaji wa Uislamu bali wapiganaji wa wapingaji na wachafuajiwa Uislamu. Jihad ni kissingizio tu. Kwa kawaida Jihad huwa dhidi ya Makafir, na huwa haipigi watoto, wanawake wala wazee.
 
Jambo la kwanza la kujiuliza ili uweze kupatrta credibility ya hii habari ni JE? Marekani wanalinda maslahi gani huko Turkey, au kuna faida gani wanapata baada ya hiyo Coup? Huwa hawa jamaa hawafanyi jambo bila faida yoyote.
 
Hii habari itakua imetoka sputniknews.com hicho ndicho chombo ambacho 24/7 kinarusha habari za propaganda kuhusu marekani, Sina upande kwa kweli lakini nimejifunza kitu

Nikitazama cnn, BBC, aljazeera utaona wanahangaika na habari mbali mbali za kimataifa ikiwemo uchaguzi wa marekani lakini hii sputniknews.com ya Russia 24/7 ni mbaya tupu za marekani, purely propaganda news against western States, na mbaya zaidi habari zao ni mawazo ya mchambuzi flan ambayo yanakua ni mtazamo binafsi wa huyo mtu lakini sputniknews.com wataiweka kama headline
Walau habari zao zingekua za kiuchunguzi lakini sio, ni mawazo na uchambuzi wa wadau tena watu wengi wanaofanya uchambuzi kwenye media hiyo ni very staunch anti American, unategemea nn hapo?

Mwenye kuleta hii habari ameitoa sputniknews.com, lakini kwa kuwa anajua watu wengi hatuiamini hiyo media house akaamua kuondoa source pale mwisho wa taarifa
Na kwa kuwa anajua ukitaka ushangiliwe na wana jamii forum na upate comments nyingi basi andika jambo ambalo ni anti America
yaani bbc,cnn au dw watoe habari ya nchi zao kupanga mapinduzi tena yaloshindwa!..uko serious!?
 
Umesoma ukaelewa maudhui mapana ya nilichokiandika? Au umeamua kunilisha maneno?

Siku nyingine utashindwa mtihani kwa kushindwa kusoma maelezo
hakuna cha kusoma wala kuelewa,katikati ya mistari umeponda sputnik na kuzifagilia bbc n.k,mbona wao ni watu wa propaganada kutwa,wamesema lipi zuri la urusi!?..walivoshupalia swala la timu ya olimpiki na kutumia dawa,wamejisahaulisha kabisa na la mo farah,au la timu yao ya cricket na kununua matokeo
 
Hii habari itakua imetoka sputniknews.com hicho ndicho chombo ambacho 24/7 kinarusha habari za propaganda kuhusu marekani, Sina upande kwa kweli lakini nimejifunza kitu

Nikitazama cnn, BBC, aljazeera utaona wanahangaika na habari mbali mbali za kimataifa ikiwemo uchaguzi wa marekani lakini hii sputniknews.com ya Russia 24/7 ni mbaya tupu za marekani, purely propaganda news against western States, na mbaya zaidi habari zao ni mawazo ya mchambuzi flan ambayo yanakua ni mtazamo binafsi wa huyo mtu lakini sputniknews.com wataiweka kama headline
Walau habari zao zingekua za kiuchunguzi lakini sio, ni mawazo na uchambuzi wa wadau tena watu wengi wanaofanya uchambuzi kwenye media hiyo ni very staunch anti American, unategemea nn hapo?

Mwenye kuleta hii habari ameitoa sputniknews.com, lakini kwa kuwa anajua watu wengi hatuiamini hiyo media house akaamua kuondoa source pale mwisho wa taarifa
Na kwa kuwa anajua ukitaka ushangiliwe na wana jamii forum na upate comments nyingi basi andika jambo ambalo ni anti America
Watu wanatabia ya kuamini sana kila kinacholetwa humu bila kuuliza reliable source..Kwa mfano mtu anasema eti russia ndio iliisaidia turkey kuzima yale mapinduzi.Ukimuuziza source kaipata wapi anaanza kujitafuna tafuna...Turkey ni member wa nato na mshirika wa karibu wa US middle east,hata NATO base kubwa kabisa middle east ipo turkey.Na US yupo tayari kuilinda turkey kwa gharama yyte ile,Ndio maana kama watakumbuka vizuri kipindi mgogoro wa syria umeanza US walijitolea kwa gharama zao kupeleka Patriot missils kule turkey ili kulinda anga lao endapo Bashar al asad ataamua kuvuka mpaka...Kwa iyo siaoni sababu yyte ya US kuusika katika plan ya kumpindua Erdogan.Ndio maana ukiangalia kwa makini huoni kabisa kama kuna msuguano wowte wa maana kati ya Erdogan na Obama..Kama kitendo hiki kingekuwa live cha kwanza tungeshuhudia balozi wa US turkey kutimuliwa au kuitwa na kuhojiwa kikamilifu kama walivyofanya kwa balozi wa Russia kipindi warusi wakiingia kwenye anga la turkey kwa maksudi...Lakin haya yote hayajatokea,hakuna habari yye ya msingi zaid ya propaganda za kwenye Putinic medias...Russia wamezidi kwa propaganda siku hizi,wamerudi ezi za vita baridi.Any way ndo silaha yao waliobaki nayo sababu naona hata syria wameshachemka sana,hawajui wapige wapi.Syria ishakuwa jehanam.
 
Watu wanatabia ya kuamini sana kila kinacholetwa humu bila kuuliza reliable source..Kwa mfano mtu anasema eti russia ndio iliisaidia turkey kuzima yale mapinduzi.Ukimuuziza source kaipata wapi anaanza kujitafuna tafuna...Turkey ni member wa nato na mshirika wa karibu wa US middle east,hata NATO base kubwa kabisa middle east ipo turkey.Na US yupo tayari kuilinda turkey kwa gharama yyte ile,Ndio maana kama watakumbuka vizuri kipindi mgogoro wa syria umeanza US walijitolea kwa gharama zao kupeleka Patriot missils kule turkey ili kulinda anga lao endapo Bashar al asad ataamua kuvuka mpaka...Kwa iyo siaoni sababu yyte ya US kuusika katika plan ya kumpindua Erdogan.Ndio maana ukiangalia kwa makini huoni kabisa kama kuna msuguano wowte wa maana kati ya Erdogan na Obama..Kama kitendo hiki kingekuwa live cha kwanza tungeshuhudia balozi wa US turkey kutimuliwa au kuitwa na kuhojiwa kikamilifu kama walivyofanya kwa balozi wa Russia kipindi warusi wakiingia kwenye anga la turkey kwa maksudi...Lakin haya yote hayajatokea,hakuna habari yye ya msingi zaid ya propaganda za kwenye Putinic medias...Russia wamezidi kwa propaganda siku hizi,wamerudi ezi za vita baridi.Any way ndo silaha yao waliobaki nayo sababu naona hata syria wameshachemka sana,hawajui wapige wapi.Syria ishakuwa jehanam.

Wana anga wa Uturuki watoroshe chopper arobaini+ kutoka kwenye military base yenye ndege za Marekani na Uturuki alafu Merikani inangalia tu, Rais anafikia hatua ya kuomba msaada kutoka kwa raia wake wasaidie kuzima mapinduzi kwa maadamano - nchi za NATO ikiwemo Marekani waangalia tu bila ya kusaidia kuzima mapinduzi ya kumuondoa madarakani wa mshirika wao - hata mtu ambaye si mchambuzi wa mambo atajua kwamba Uncle SAM na wenzake walitaka Erdogan apinduliwe - hata mawaziri wa Serikali ya Uturuki wasema hivyo!!! Hapa hakuna cha propaganda za Sputnik wala nini sijui - kila kitu ni obvious.
 
Wana anga wa Uturuki watoroshe chopper arobaini+ kutoka kwenye military base yenye ndege za Marekani na Uturuki alafu Merikani inangalia tu, Rais anafikia hatua ya kuomba msaada kutoka kwa raia wake wasaidie kuzima mapinduzi kwa maadamano - nchi za NATO ikiwemo Marekani waangalia tu bila ya kusaidia kuzima mapinduzi ya kumuondoa madarakani wa mshirika wao - hata mtu ambaye si mchambuzi wa mambo atajua kwamba Uncle SAM na wenzake walitaka Erdogan apinduliwe - hata mawaziri wa Serikali ya Uturuki wasema hivyo!!! Hapa hakuna cha propaganda za Sputnik wala nini sijui - kila kitu ni obvious.
Kwa nini Marekani atake Erdogan apinduliwe?..Sababu za msingi ni zipi akati hawajapingana kwa lolote lile?...Na mbona hakuna reaction yyte kali kutoka kwa Turkey thidi ya Marekani? kwa nini bado wana uhusiano uleule wa mwanzo?Namaanisha kidiplomasia na kijeshi?..Kama ni kweli US walihusika na huo mpango,ni dhahiri kwamba hakuna nchi yyte duniani itakayomvumilia rafiki yyte anayetaka kuleta machafuko nchini mwake hasa swala la mapinduzi?..Tunajua mapinduzi ni its a capital crime,hivyo hakuna nchi yyte itakayokuvumilia hata kwa dakika 1..Kwa mfano russia walipita kwe anga la uturuki,waturuki wakamwita balozi wao kuhojiwa kikamilifu na kidogo wamfukuze na hilo ni kosa dogo tu,sasa je kwa nini hili la mapinduzi Turkey wawavumilie wamarekani kiasi hicho.Yaani adui yako aliyejaribu kukuwekea sumu kwenye chakula afu bado unampa nafasi ya kukupakulia chakula tena?.Ukiangalia bado operation za kijeshi za US zinaendelea kawaida kutokea turkey like nothing happened.Realy!!!!..asee natkuwa wa mwisho kuamini US alihusika...nyie endeleeni na propaganda kukoka kwe putinic medias.
 
Kwa nini Marekani atake Erdogan apinduliwe?..Sababu za msingi ni zipi akati hawajapingana kwa lolote lile?...Na mbona hakuna reaction yyte kali kutoka kwa Turkey thidi ya Marekani? kwa nini bado wana uhusiano uleule wa mwanzo?Namaanisha kidiplomasia na kijeshi?..Kama ni kweli US walihusika na huo mpango,ni dhahiri kwamba hakuna nchi yyte duniani itakayomvumilia rafiki yyte anayetaka kuleta machafuko nchini mwake hasa swala la mapinduzi?..Tunajua mapinduzi ni its a capital crime,hivyo hakuna nchi yyte itakayokuvumilia hata kwa dakika 1..Kwa mfano russia walipita kwe anga la uturuki,waturuki wakamwita balozi wao kuhojiwa kikamilifu na kidogo wamfukuze na hilo ni kosa dogo tu,sasa je kwa nini hili la mapinduzi Turkey wawavumilie wamarekani kiasi hicho.Yaani adui yako aliyejaribu kukuwekea sumu kwenye chakula afu bado unampa nafasi ya kukupakulia chakula tena?.Ukiangalia bado operation za kijeshi za US zinaendelea kawaida kutokea turkey like nothing happened.Realy!!!!..asee natkuwa wa mwisho kuamini US alihusika...nyie endeleeni na propaganda kukoka kwe putinic medias.

Simple, hawakupenda hatua za Erdogan ku reconcile na Putin na Asaad, ndiyo walivyo kama ujui agenda zao za siri zinazo husu Geopolitics za Marekani in Africa Kasikazini na Mashariki ya kati actually Syria ndiyo uchukuliwa na Military Planners wa the USA kama epicenter ya kutekeleza long term plan zao za kutawala/dhibiti natural resorces za Euroasia including Russia - kisa 65% ya maliasili Duniani zipo eneo hilo, je ni watu wangapi wanajua ukweli huo? - We unafikiri kwa nini Uncle SAM ujulikana kama Emperor of CHAOS.

Tangu mwanzo ukisoma posts zangu humu nilionya kwamba ma Yankee yanahusika na njama hizi lakini watu walinibeza beza - kilicho nishtua ni kitu gani? Niliona Amerika ilikuwa so passive wakati majaribio ya kumpindua Erdogan yakiendela hii si tabia yao, mara zote usaidia washirika wake wa karibu wasipinduliwe walipaswa kuchukua hatua kali ukiwekea maanani kwamba kwenye military Base ya Incirlik Marekani inahifadhi mabom yao ya thermonuclear, kwa nini hata hilo alikuwashtua kwamba mabom hayo yanaweza kuingia mikononi mwa waasi wakayatumia dhidi yao yakaleta madhala yasiyo elezeka.

Merakani ilisita kumsaidia Erdogan lakini juzi hapa awakusita kutuma ndege zake za vita kusaidia Serikali ya Libya isipinduliwe na kukundi chenye siasa kali - mark you Libya is not even a NATO member! Swali ni: Kwa nini NATO specifically Marekani walimwacha Erdogan aogelee kwenye murky/unchated water peke yake na Mungu wake - was it normal - I don't think so?

Kitu kingine acheni tabia zenu za ku insult intelligence za watu kwa kuwasingizia kwamba wanapata taarifa kutoka Sputnik!! Ubishi mwingine unashangaza sana - yaani unataka kueleza Dunia kwamba Serikali ya Uturuki ni wakurupukaji kuitaja the USA/ma afisa wa jeshi la the USA walihusika kubariki mapinduzi ya kumung'oa Erdogan madarakani - comeon!
 
Back
Top Bottom