FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,229
Hilo la US kurusha mabomu halitustui wala halina tishio lolote umeshajibiwa sana juu huko. Tena kama wanataka tuwasaidie kuwamaliza isis wala wasiwe na hofu. Ni kinyago chao wenyewe hicho. Waongeze mashambulizi na watuoneshe picha za waliowaua. Furaha kwetu hiyo.Usiniulize mimi, maana sio mimi natembeza kichapo kwa hao wakuu wenu, mfuateni US...hehehe yule kiboko, na mtapoteana sana, carpet bombing.
Nimekuuliza kuhusu Al shabab na Somalia na Kenya hujaona?