Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Apige anasubiri ninHakuna mtu mwenye ubavu wa kuanzisha vita vya nuclear na nchi inayoongoza kwa wingi na ukubwa wa nuclear.
Russia atapiga nuke ukraine akiamua na yoyote atakayejaribu kumjibu russia basi huo ndio utakuwa mwisho wake na wa dunia kiujumla.
Marekani wanalijua hili ndio maana hawawezi kutia mguu direct Ukraine.