Urusi: Serikali yatangaza kuzima intaneti ili kujilinda na maadui

Kasome tena Na utafakari!!! Kilicho semwa kuwa cio kwamba anajitenga na internet bl anataka kujitoa kwenye mfumo WA internet WA kidunia ili kulinda Usalama wake Na vile vile kuna vitisho vya vikwazo vya kimtandao kwaiyo kufikia mpk April watakua wana kamilisha mfumo wao wa internet ambao saver zote zitapitia urusi lkn kwa watu wake wataweza pata taarifa za dunia ht km watakua na vikwazo vya kimtandao kupitia Mfumo mazubuti DNS ambao taarifa zote za kimtandao za ndan ya urusi zitabakia urusi Na urusi itakua na mamlaka za taarifa kutoka nje zp zina faa kwa watu wake kuzipata kwaiyo atajitegemea mwenyewe kima mambo ya kimtandao

Sent using Jamii Forums mobile app
MBONA TUNAJAZANA UJINGA KM WATOTO WA PRIMARY ZA KATA?
hivi mnajua maana ya Internet
au ni hivi visimu vyetu tunavyobofya hapa tunajiona tunamili Internet
mwambieni azime basi km hakukuta Warusi zaidi ya 80% wana mawasiliano hayo
kuna misimu km Blackberry hayapitii Tigo Voda au airtel sisi tunapitishwa huko tunajiona wakali
kuna watu kibao wanapitia Wifi nk
km ni kweli mobimba weka link sio kudanganyana huenda lugha ikawa tatizo kuna wanaojua kirusi humu
 
MBONA TUNAJAZANA UJINGA KM WATOTO WA PRIMARY ZA KATA?
hivi mnajua maana ya Internet
au ni hivi visimu vyetu tunavyobofya hapa tunajiona tunamili Internet
mwambieni azime basi km hakukuta Warusi zaidi ya 80% wana mawasiliano hayo
kuna misimu km Blackberry hayapitii Tigo Voda au airtel sisi tunapitishwa huko tunajiona wakali
kuna watu kibao wanapitia Wifi nk
km ni kweli mobimba weka link sio kudanganyana huenda lugha ikawa tatizo kuna wanaojua kirusi humu
Kasome BBC nafikili utaelewa. Internet ngumu sana ni kwako Ila Kwa walio gundua wanaweza kuufanya wanavyo taka kachimbe Kk au utakua ulikimbia physics shule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome BBC nafikili utaelewa. Internet ngumu sana ni kwako Ila Kwa walio gundua wanaweza kuufanya wanavyo taka kachimbe Kk au utakua ulikimbia physics shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh wewe ndio umesoma hasa hiyo Physics ys KK
inernet ni zaidi ya physics, Osama Bin Laden katumia simu miaka 20 bila kukamatwa kaja naswa na Dr wa chanjo na mabibi Afya.
sio kila taarifa ukaiamini kuwa itaweza, kajifunze Frequency ndio ujue watu wanawasiliana popote licha ya inernet, msubirie huyo Putin wako
 
Kasome tena Na utafakari!!! Kilicho semwa kuwa cio kwamba anajitenga na internet bl anataka kujitoa kwenye mfumo WA internet WA kidunia ili kulinda Usalama wake Na vile vile kuna vitisho vya vikwazo vya kimtandao kwaiyo kufikia mpk April watakua wana kamilisha mfumo wao wa internet ambao saver zote zitapitia urusi lkn kwa watu wake wataweza pata taarifa za dunia ht km watakua na vikwazo vya kimtandao kupitia Mfumo mazubuti DNS ambao taarifa zote za kimtandao za ndan ya urusi zitabakia urusi Na urusi itakua na mamlaka za taarifa kutoka nje zp zina faa kwa watu wake kuzipata kwaiyo atajitegemea mwenyewe kima mambo ya kimtandao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mku sijui umetokea wapi maana hata sikuwa nakujibu wewe au ndio nyie wenye ID nyingi? mimi kila mtu namjibu jibu linalomstahili so ukiingilia kati huwezi elewa... so get lost. wewe upo backwards sana kwangu... Mimi nipo kifuture zaidi
 
Yaani Warusi huko kwao wameamua kufanya hiyo project yao.....ambazo hizo taarifa zimeandikwa vizuri tu na vyombo vya habari..lkn still kuna Wamarekani Weusi hapa wanapinga....wanaandika kwa kuhamaki utafikiri hao Warusi au Wamarekani wanasoma hata.....ENYI WATU WEUSI NI NANI ALIWAROGA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom