sasa unapinga nini ? narudia tena maana yake maadui wapo ndani ya urusi tena mji mkuu , sijui bado unatetea nini ? ambacho unataka na mimi nitumie akili yako sio common senseKuwa na akili basi hata kidogo. Kusema vile haimaanishi kwamba waliofanya hilo jaribio sio Ukrainians. Kuna uwezekano wa Ukrainians waliingia Moscow kwa mission maalumu
aah kumbe wameenda kutalii kyiev ? sikujua aseeeAliyekuambia anataka Ukraine yote ni nani? Marekani?
Walitaka kumpakazia Ukraine washushe makombora....Kuna mchezo tu unaofanywa na Russia
Hakuna nchi yenye ubavu wa kupambana na USA. Russia amalizane Kwanza na Ukraine aache ujinga. Anaiwaza marekani wakati Ukraine imetait kisaswasa.Pumbafu. Waambie marekani wapige kombola Moscow or norh Korea alafu uone kama hawatamjibu
Mambo mengine jaribuni kufanyaka kautafiti kidogo au kusoma historia - hivi VietNam ilipo kuwa inasaidiwa na Urusi kwenye ya silaha za kutungulia ndege zikiwemo phantom na B-52, helicolpters - more than 20thousand American military flying machines were brought down by VietNamese air defense systems (S-75) and MiG-21 (a supersonic fighter by that time). Mbona hamsemi kwa nini Amerika haikuivamia Urusi kwa sababu ya kuwapatia silaha WavietNam walikuwa wanapukutusha ndege za Kimerikani kila kukicha mwisho wa siku Amerika ikafunga virago na kuondoka VietNam kwa aibu - check video clip wakati wanajeshi wa Kimerinani na majenerali wakitimka bila viatu wakikimbia vifaru na jeshi la VietCong huko Saigon - huwa sielewi kwa nini baadhi ya waswahili wana tendency ya ku-inflate uwezo wa kijeshi wa Taifa la Merikani - mbona uwezo huo hakuoona huko VietNam, Cambodia na Laos, mbona hakuuuona huko Afghanistani - wanapigana na Watebanani kwa miaka ishirini halafu wana waachia tena watelibani kutawala ie on drivers seat - hii wapi na wapi.
Labda nikukumbushe kwamba Urusi inajulikana kama Super power for a good reason - nyie endeleeni na imani zenu za ajabu sana - hivi kwa akili za kawaida Amerika inaweza kwelikudhubutu kuoiga vita ya ana kwa ana na URUSI - msilete utani, kuhusu Ikulu ya Merikani kushambuliwa kirahisi Urusi ikihamua hilo ni suala dogo kwao - wanatuma hyoersonic missiles au glide vehicles hata SARMAT ambazo Amerika nzima haina kinga yoyote dhidi ya makombora hayo hatarishi au wewe huna habari na ukweli huo.
Hakuna nchi yenye ubavu wa kupambana na USA. Russia amalizane Kwanza na Ukraine aache ujinga. Anaiwaza marekani wakati Ukraine imetait kisaswasa.
Russia kachanganyikiwa. Amebakia kutishia Nuclear.Hivi ni kweli waliochanganyikiwa hauwajui au na wewe ni miongoni mwao waliochananyikiwa,,!?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ingekuwa kishumaa wasingepiga kelele zote. Kama Kremlin imeshambuliwa unategemea Nini.Kimshumaa kilichodondokea Kremlin ndo kiwachanganye
Yaani inasikitishana Putin alikuwa mtu ndaro sana mpaka wahuni wameenda kuigonga Kremlin hana ubavu wa kufanya chochote ananungunika tuUrusi yadai, Marekani ndiye alihusika na drone na si Ukraine.
Je, tutegemee nini?
BREAKING: Russia claims the US is behind drone attack on Kremlin and that decisions to conduct such operations are taken in Washington DC, not Kyiv
Imesema inapanga jinsi ya kulipa
Kumbe ndo maana hawajajibu
-----
Just in from Moscow: Putin spokesman Dmitry Peskov claims without evidence that the US is behind the drone attack on the Kremlin. "We know very well that decisions on such actions and such terrorist attacks are made not in Kyiv but in Washington." via Russian state media
Wamepiga ikulu kumuonesha kwamba yeye wakawaida, na ipo siku wataingia mazima.Yaani inasikitishana Putin alikuwa mtu ndaro sana mpaka wahuni wameenda kuigonga Kremlin hana ubavu wa kufanya chochote ananungunika tu
Halafu kumbe Urusi inapigika haiko salama, hawana ulinzi wowote wa anga, ndege mpaka inaenda kugonga mnara wa Kremlin wameshindwa ku-intersept
Putin kwa alivyo muoga humo Ikulu yake hatii tena maguu kwa woga, maamae watu wamemuonyesha tu kwamba usijidai wewe huko salama, ni vile uanze tumalize mchezo
I got your point sir! Salute.Aibu ndio inepelekea watamke hivyo.kuwa.Marekani ndio.imeshambulia Kremlin
Wameona wakisema Ukraine ndio kushambulia hata warusi wangekosa imani na serikali na jeshi.
Wameona wataje taifa kubwa
Lakini uongo Ukraine ndie kamtwanga
Kuna shushushu moja la Urusi lilikamatwa likahojiwa akasema Putin ni mtu mwenye hofu sana hana utulivu wa maisha anapenda kujibadilisha sura, ukisikia Putin ameenda kutembelea Crimea kumbe sio yeye ni wa bandiaWamepiga ikulu kumuonesha kwamba yeye wakawaida, na ipo siku wataingia mazima.
Si kweli, unafikiri Russia hawana uwezo wa kutuma drone kwenda white house?Wamepiga ikulu kumuonesha kwamba yeye wakawaida, na ipo siku wataingia mazima.