Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,768
We chekaa tu....😂😂
Yule Milosevic alitaka kufanya yale ya WAHUTU wenye Misimamo mikali kuwachinja WATUTSI kama kuku....oooh gosh UN italaumiwa hadi KIAMA kwa KUTOWEZA kuyazuia YALE....na ndio maana PAUL KAGAME anabaki kuwa HERO Rwanda na AFRIKA YA MASHARIKI....
Bila ya yeye....WATUTSI wangefutwa kama alivyotaka SHETANI SLOBODAN MILOSEVIC kwa raia wasio na hatia wakosovo waalbania.....