Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Amani iwe nanyi wadau
Tanzania ikiwa inaendelea na uchaguzi mataifa wawili yalikuwa vitani(Armenia na Azerbaijan). Armenia ikiungwa mkono na Urusi kwa kuwa na watu wengi wanaozungumza kirusi (Christian Orthodox) na Azerbaijan ikiungwa mkono na uturuki kwa kuwa majority ya population yao ni Shia Moslems.
Mgogoro huu umeisha Juma lililopota kwa Armenia kuomba vita iishe na kukubaliana kuachia sehemu ya jimbo la Nagorno -Karabakh kwa Azerbaijan ambao walishaanza kutangaza ushindi mnono kwenye vita hii!
Kwa wachambuzi wa siasa Hii ni ishara ya kuanguka kabisa kwa urusi katika siasa za dunia na kuibuka kwa Uturuki Kama New World Power.
Uturuki pia ana mgogoro na China kwa sababu ya China kukandamiza haki za Waislamu wachache wa jamii ya Uyghurs.
Swali sasa ni Je, Kwa hali inavyoenda duniani huku Ccm wakiwa wanawategemea China na Urusi, CCM itaendelea kuwa hai katika miaka michache ijayo?
Naomba ukichangia mada hii usisahau kuwa Mabalozi wa nchi zinazoongoza kuipa fedha na misaada Tanzania (Marekani, Uingereza, Ujerumani, Korea Kusini, Japan, Sweden, Norway, Canada na Umoja wa Ulaya) hawajaudhuria shughuli ya leo ya Magufuli kufungua bunge.
Yajayo yanafurahisha!!
Tanzania ikiwa inaendelea na uchaguzi mataifa wawili yalikuwa vitani(Armenia na Azerbaijan). Armenia ikiungwa mkono na Urusi kwa kuwa na watu wengi wanaozungumza kirusi (Christian Orthodox) na Azerbaijan ikiungwa mkono na uturuki kwa kuwa majority ya population yao ni Shia Moslems.
Mgogoro huu umeisha Juma lililopota kwa Armenia kuomba vita iishe na kukubaliana kuachia sehemu ya jimbo la Nagorno -Karabakh kwa Azerbaijan ambao walishaanza kutangaza ushindi mnono kwenye vita hii!
Kwa wachambuzi wa siasa Hii ni ishara ya kuanguka kabisa kwa urusi katika siasa za dunia na kuibuka kwa Uturuki Kama New World Power.
Uturuki pia ana mgogoro na China kwa sababu ya China kukandamiza haki za Waislamu wachache wa jamii ya Uyghurs.
Swali sasa ni Je, Kwa hali inavyoenda duniani huku Ccm wakiwa wanawategemea China na Urusi, CCM itaendelea kuwa hai katika miaka michache ijayo?
Naomba ukichangia mada hii usisahau kuwa Mabalozi wa nchi zinazoongoza kuipa fedha na misaada Tanzania (Marekani, Uingereza, Ujerumani, Korea Kusini, Japan, Sweden, Norway, Canada na Umoja wa Ulaya) hawajaudhuria shughuli ya leo ya Magufuli kufungua bunge.
Yajayo yanafurahisha!!