hujui kuwa wana igunga ni waislam na hawaingii jf??>
Kama unaipigia debe CCM ntakujulisha pa kuzipata tena bure. Vinginevyo, wee ulie tu.
Tafadhali sana tumo Waislaam wengi humu JF. Kuna mahali JF inasema Waislaam hawaruhusiwi?
Posts kama hizi ndio zinashadidia chuki.