Urgent: Natafuta pa system ya kukodi igunga

Urgent: Natafuta pa system ya kukodi igunga

Lukansola

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
5,435
Reaction score
1,611
Habari zenu wakuu, naomba watu wa igunga mnitafutie Public Announcement System (PA), Microphone 3 wireless, kwa Jumapili 4/September/2011, Igunga, mwenye contacts naomba PM tafadhali.
Asanteni.
 
Twajua wataka kuanza promo kabisa,
Za magamba au magandwa?
Kama magwanda sema nkupigie debe
 
Twajua wataka kuanza promo kabisa,
Za magamba au magandwa?
Kama magwanda sema nkupigie debe

Sina chama ila ni napenda 'change', kama una contacts nomba please its urgent for this sunday
 
hujui kuwa wana igunga ni waislam na hawaingii jf??>
 
Kama unaipigia debe CCM ntakujulisha pa kuzipata tena bure. Vinginevyo, wee ulie tu.
 
hujui kuwa wana igunga ni waislam na hawaingii jf??>

Tafadhali sana tumo Waislaam wengi humu JF. Kuna mahali JF inasema Waislaam hawaruhusiwi?

Posts kama hizi ndio zinashadidia chuki.
 
Kama unaipigia debe CCM ntakujulisha pa kuzipata tena bure. Vinginevyo, wee ulie tu.

FaizaFoxy mpenzi usinifanyie hivyo, wewe hujaona nyumba moja baba Simba mama Yanga na maisha yanaendelea punguza hasira mamii, utanipa? (PA System)
 
m-PM Sikonge, japo yeye yupo mwendo kidogo toka Igunga.
Nijuavyo ni kuwa yeye ni mzuri kwa ombi lako, na atakusikiliza bila shida!
 
Tafadhali sana tumo Waislaam wengi humu JF. Kuna mahali JF inasema Waislaam hawaruhusiwi?

Posts kama hizi ndio zinashadidia chuki.

Kweli FF hapa jamaa kachemka, sometimes tujitahidi kuwa a bit serious sio mzaha kila mara (nina hakika director alikuwa anatania tu), maana katika hali ya kawaida mtu hawezi sema maneno haya
 
Mkuu mi nina kampuni inajihusisha na shughuli hizo na ipo dar,tunavyo vifaa vya uhakika na huwa tunasafirisha hata mikoani kwa ajili ya shughuli kama hizo pamoja na shughuli za kuhamasisha jamii mambo mbalimbali kama utahitaji wkat mwingine nitafute 0714779110.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom