Aje nimpore hizo pesa aanze kulia Lia.
Hahaha daahAje nimpore hizo pesa aanze kulia Lia.
Ukapuku unanitesa ujue!Hahaha daah
Kijana MasikiniUkapuku unanitesa ujue!
serious...!Airnb chamazi,chanika?Chamazi, mbande, chanika, vikindu, kisemvule na mengine ya aina hiyo!
Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi mwenye uhitaji unipigie 0625784681. Au wasap. Ni nyumba ina apartments 2 na vyoo ndani.Hello all,
Natafuta kiwanja Dar es Salaam. Malengo yangu ni kujenga nyumba ya vyumba sita vya kukaribisha wageni wa mda mfupi (ex : Airbnb…)
Wapi Dar es Salaam naweza pata kiwanja kizuri kwa bei nafuu for my project?
Natanguliza shukran wakuu.
Nishapata elimu ya mtaa baada ya kukabwa.Aje nimpore hizo pesa aanze kulia Lia.
Umetenga sh ngapi za kiwanja ili upate sawa na nguvu ya hela yako. Dar viwanja vipo kila sehemu, ni hela yako tu. Mfano K/koo vipo kama sita hivi vinauzwa, Upanga East vipo vitano, Obay vipo viwili. Chagua tu.Hello all,
Natafuta kiwanja Dar es Salaam. Malengo yangu ni kujenga nyumba ya vyumba sita vya kukaribisha wageni wa mda mfupi (ex : Airbnb…)
Wapi Dar es Salaam naweza pata kiwanja kizuri kwa bei nafuu for my project?
Natanguliza shukran wakuu.
Nipigie simuHello all,
Natafuta kiwanja Dar es Salaam. Malengo yangu ni kujenga nyumba ya vyumba sita vya kukaribisha wageni wa mda mfupi (ex : Airbnb…)
Wapi Dar es Salaam naweza pata kiwanja kizuri kwa bei nafuu for my project?
Natanguliza shukran wakuu.