MZURI SANA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2023
- 241
- 546
hello
Urgent
Nahitaji ushauri seriously naombeni sana wenye hekima tu ndo mnishauri nimechanganyikiwa mie
Jana baada ya kutangaza ofa wanaume waje kwa pm yangu ,nashukuru sana walikuja kwa wingi..
Inshallah sio haba kila mja alikuja na Sera yake mengine ni ya private mzuri mie niyaweke moyoni nitayajadili kesho saloon na kikoba.
Kuna man mmoja wapo ameonesha exactly nia ya kuhitaji kabisa kuwa na mie leo saa 7 mchana nimekutana nae hapa mlimani city jamani nilivyopendeza nadhani hakuna mwanaume anayeweza kuniona asichanganyikiwe nilitupia ka gauni kangu kekundu nikipendacho sana.
Summarization I met with a real gentleman na wala sikuwa kuwaza ningeweza kukutana na mwanaume HB,smart with a lot of money like this Gentleman.
Ameniahidi kuniamisha na kunijengea Nyumba Tabata,anataka kunifungulia duka la nguo makumbusho ila kwa masharti mawili tu.
Nimzalie mtoto wa kiume Maana hajawahi kupata mtoto wa kiume na pili anifanye niwe mke wa pili.
Jamani naombeni ushauri urgently majibu anaitaji ndani ya hii wiki.
Urgent
Nahitaji ushauri seriously naombeni sana wenye hekima tu ndo mnishauri nimechanganyikiwa mie
Jana baada ya kutangaza ofa wanaume waje kwa pm yangu ,nashukuru sana walikuja kwa wingi..
Inshallah sio haba kila mja alikuja na Sera yake mengine ni ya private mzuri mie niyaweke moyoni nitayajadili kesho saloon na kikoba.
Kuna man mmoja wapo ameonesha exactly nia ya kuhitaji kabisa kuwa na mie leo saa 7 mchana nimekutana nae hapa mlimani city jamani nilivyopendeza nadhani hakuna mwanaume anayeweza kuniona asichanganyikiwe nilitupia ka gauni kangu kekundu nikipendacho sana.
Summarization I met with a real gentleman na wala sikuwa kuwaza ningeweza kukutana na mwanaume HB,smart with a lot of money like this Gentleman.
Ameniahidi kuniamisha na kunijengea Nyumba Tabata,anataka kunifungulia duka la nguo makumbusho ila kwa masharti mawili tu.
Nimzalie mtoto wa kiume Maana hajawahi kupata mtoto wa kiume na pili anifanye niwe mke wa pili.
Jamani naombeni ushauri urgently majibu anaitaji ndani ya hii wiki.