Kaka huo unaitwa urembo wa Ndonya
Zinduna hao huwa wanafua nguo au kupika
Najiuliza mengi wale wenye makucha marefu wanafanyaje usafi? Na kupika wanawalisha wenzao uchafu tu
Huyo wa juu ndo kapendeza.
Ila hao wa chini bora wasingeweka hayo madude yao.
Huyo Jee?
Habibty leo upo forodhani nini lol
Lol, nalea. Baby ananikeshesha.