kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Atauzaje nani alishawahi kuuza?Tatizo ni moja.
Atauza kila kitu, pamoja na raia anaowaongoza!
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Atauzaje nani alishawahi kuuza?Tatizo ni moja.
Atauza kila kitu, pamoja na raia anaowaongoza!
U MicheleMarope ana kasha moja chafu ,haijulikani na wengi ila wapinzani wake wakiitumia ,basi ata utendaji wa serikali za mtaa hataupata
Shida yako umekalili ukisikia wawekezaji unawaza ufisadi. Ukiwakalilisha ujinga wajinga wanakuwa wajinga zaidi maana hawajui kureason pia ni wavivu wa kufanya utafiti, uchumi wa China na nchi za magharibi unakuwa kwa kasi kutokana na wawekezaji (Private sector), inshu ungejikita ni namna gani mikataba ikawa wazi pamoja na faida kwa nchi yetu ningekuelewa.Mnasaidiana kutafuta wateja wa Tanesco Dubai eeh!
Mchukuwe akawe mume wa mama yako ili awaongoze kwenu.
Yupo wapi kwanza??Eti Paul Makonda awe Waziri???
Acha upumbavu!
Kama wanauwezo wamefanya nini?Kwani hawana uwezo? Au ni chuki zako binafsi. Mm mwenyewe ni mkristo ila naona ni fresh tu kama mtu anauwezo akipata bahati ya kuteuliwa ni fresh tu.
nakuona katika ubora wa pumba zako khaaa ety makamba huyu huyu anayekata umeme kila sku au👹👺January Makamba kwa mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
January Makamba kwa mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Wewe ni January, unamtumiaga hadi dada yako kutapeli watu.Wana JF kiukweli mimi sio Makamba sina urafiki nae wala simpigii kampeini mana uchaguzi bado upo mbali sana na mama anaupiga mwingi tu hivyo tufanye kazi kwa bidii tu, Mimi sio mtu wa siasa kivile ila natoa mtazamo wangu pamoja na wa vijana walio wengi wasomi kwa nature ya raisi wanayemuhitaji kiukweli huyu jamaa wanamkubali sana he is very smart. Tatizo la wabongo mnapenda watu waongo, wasiofuata utawala wa sheria, wapenda sifa, miungu watu, muitwe wanyonge(wajinga) ndio muhisi huyo ndiye raisi.
Si kweli brother! Mm ni mtu wa kawaida sana si mwanasiasa ni mtu wa kawaida na ni mkulima mpambanaji.Mwandishi wa hii Makala ni mkamba mwenyewe!
Kwa ufupi hii familia ya makamba kuanzia baba yao sio watu wa kuamini, kwa ufupi hawana ethics za utawala kabisa!
Mimi sina chama.Ni ma ccm wenzako