Urais uanzie miaka 60

Urais uanzie miaka 60

bado nauliza. warundi si wa kupigiwa mfano? mfano makamba kawa rais oktoba. hope ana 41or 42. akimaliza term zake mbili ana 52. around age ya nkurunzinza. unsdhami makamba atajishughulisha tena na nini baada ya urais? we are creating dormant intellectuals
Mkuu,
Ndio maana nikasema hiyo ya kutaka kujiongezea muda ni hulka ya mtu sababu wakati unatoa mfano wa rais kijana anayetaka kujiongezea muda,usisahau pia wako marais vijana duniani waliomaliza muda na kukaa pembeni bila shida.
 
Mkuu,
Ndio maana nikasema hiyo ya kutaka kujiongezea muda ni hulka ya mtu sababu wakati unatoa mfano wa rais kijana anayetaka kujiongezea muda,usisahau pia wako marais vijana duniani waliomaliza muda na kukaa pembeni bila shida.
Mifano ni muhimu sana mkuu. Tupe mfano
 
Back
Top Bottom