Urais 2015, kundi langu ni CCM

Urais 2015, kundi langu ni CCM

Stupid thread of the year...

Yes boss...from one of the st....pd guys below

18888.jpg
 
Nimekupuuza sana kutokana na njama yako ya kutaka kuangamiza Uhuru wa vyombo vya Habari Tanzania
 
gud approach.. ila tu kama unatenda unachohubiri.
katika mtihani mkubwa kabisa tuliopata kuupitia watanzania tangu uhuru, nadhani kupata mgombea wa CCM 2015 ndio mtihani mgumu zaidi. na hii ni kwa sababu yule anayepigiwa debe na wana ccm wanaofanya maamuzi ndiye asiyefaa kuliko wote.
mungu namuomba awape ujasiri akina NAPE
 
Mkuu acha kuropoka, usifikiri kila saa tunazungumzia siasa tu. Kuna maisha zaidi ya siasa.


Mkuu sixgates mbona umekazana sana kumtetea huyo muuaji mwigulu? Mlivyokutana alikupa posho au?

Hakuna binadamu mwenye roho mbaya nchi hii kama mwigulu nchemba.... Mwigulu hata shetani anamwogopa sasa nakushangaa wewe kupoteza nguvu zako hapa kumtetea!
 
Last edited by a moderator:
Stupid thread of the year...
If that is the case, kwa nini umechangia na unaendelea kuchangia?. You must be thick as two short planks beyond reasonable doubt!.

Watu wengine mnashangaza sana.
 
Hii tabia ya kusahau kuitaja Chadema kwenye mambo ya CCM tuamini kuwa ni matokeo ya ziara barani Ulaya na Amerika? Twende kwenye mada ,mimi naona huo ni uongo mwanadamu utakosaje upande unaounga mkono? Hii ni sawa na kusema na kusema ubongo wako umeupumzisha na haufanyi kazi kwa sasa.
Ni tabia hizi hizi za unafiki na uongo watu wanaochukulia ni mdogo unaosababisha watu kutokuwa WAKWELI.Ni kweli kabisa ndani ya moyo wako Mwigulu hakuna mtu unatamani awe rais? Haya kama huna hata wewe mwenyewe basii

Kwangu mimi ukiniuliza kwenye chama changu nani natamani awe rais wa kwanza kutoka upinzani nitajibu bila kumng'unya maneno kuwa ni DR W.SLAA,hii haimanishi kwamba akija Prof Baregu au Safari sitamuunga mkono,la hasha.Hata huyo kibaraka wenu akibahatika kupita nitaenda naye hivyo hivyo si unafahamu ZIMWI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKWISHA.

nashauri watanzania tubadilike kwa kuwa wakweli hata kwa haya mambo madogo maana ndo yakayo tupelekea kuaminika ktk mambo makubwa.
Rafiki yangu alienda kuomba mkopo STANBANK akapewa interview moja ya swali ilikuwa ni je aliwahi kuiba kitu chochote ktk maisha yake? Alivyo kuja ananiambia mtihani ulikuwa rahis na yeye alijibu kuwa hajawahi kuiba.Nilimweleza palepale hayo majibu yangefaa kwa watanzania ila kwa kuwa ile bank ni ya Wanzungu umekosa.Ni nani atasama tangu kuzaliwa hajawahi kuiba?
Sitashangaa Mh Mwigulu utakuwa wa kwanza kunyoosha mkono kuwa hujawahi kuiba ukisahau kuwa hata pale BOT kwenye ile issue ya EPA uliiba.
 
Vp kuhusu ile kesi ya kulipua mabomu pale soweto arusha,tuliskia wale watuhumiwa waliokuwa wamekamatwa na kuhojiwa walikutaja wewe kama muhusika mkuu wa kadhia ile,umeshaitwa polis na kuhojiwa au umeshayamaliza kimya kimya?
 
wingi wa matusi ni ishara kuwa wengi waliokuwa na mtazamo kama wa Mwita Maranya(ambao walitakiwa kufikiwa na ujumbe) tayari wamesoma na kuelewa msimamo wako, suala la kupinga/kutukana halikuhusu-GO ON KIONGOZI, badilikeni kidogo tu mfanye kazi-bado tuna imani kubwa na ninyi kuliko YANAYOENDELEA SASA HIVI NDANI YA CHADEMA-hatukujua kama ni SACCOS ya KANDA na kwamba maamuzi sio ya kichama bali ya WENYE HISA ZAO

Masikini msukule wewe......Umechakaaa mbayaa...
 
tatizo la pro-chadema baada ya kuuliza au kucchangia vitu vya maana,mnaanza kuleta kashfa na majungu! mtakuwa lini ndugu zangu!badilikeni jamani
 
mwigulu katika vijana wahuni, arrogance wapumbavu na kudharauliwa milele ni wewe, hata kabila lako la wanyiramba unawaibisha daima, watakao hukumiwa na historia milele ni wewe, swala la kundi lako mie najua kundiko lako nila kuwaua watz na kutengenza kesi FAKE kwa wapinzani wenu, SHAME UPON YOU, HUNA LOLOTE CHUKI TU IMEKUJAA
 
Back
Top Bottom