Yawezekana hujajua ninachokilalamikia.
Niaminivyo mimi km asingesema ana gari huyu mtu angekuwa na uhuru zaidi. Ila amekosa kuwa huru kutokana na hofu hiyo.
Na kitendo cha kunibia anadrive nikamuona kwenye daladala kilimfedhehesha sana. Kwa misingi hiyo ndo maana nasema akakata na communication ukipiga hapokei.
Kwani wenye magari binafsi huwa hawapandi daladala? Au wanaopanda daladala wote hawana magari yao binafsi?