Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!


wewe hujanielewa lara 1 moyo wake mgumu hayumbishwi kimapenzi siyo wa kulialia kama wewe.
Nimepitia comment zote nimemuelewa sana lara 1 we mpotezee mume wa mtu taratibu huo ushost mhhh
 
Last edited by a moderator:
hahahahah umenigeuzia kibao sio eeeh??? alokwambia mie wa kulialia nani???
wewe hujanielewa lara 1 moyo wake mgumu hayumbishwi kimapenzi siyo wa kulialia kama wewe.
Nimepitia comment zote nimemuelewa sana lara 1 we mpotezee mume wa mtu taratibu huo ushost mhhh
 
hahahahah umenigeuzia kibao sio eeeh??? alokwambia mie wa kulialia nani???

Kilizi huyo kakamatika!!!!!!!!!!! Hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaa! amu it is so much fun when you are picking at Ciello!
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaaaaaaaa! Sasa si tum eelewana na mumewe na kuwa marafiki? Ubaya uko wapi hapo?

Mke halali lazima ujiaimni atii!!!!!!!!! Huwezi kutishika nyau na sie kina Lara! Utakufa na pressure bureeee!
 

Time is the best chancelor uongo!!!!!!!!!!!!! Kweli kabisaaa! (Mambo ya time the time before time times you yamepitwa na wakati!
 
Binadamu yeyote aliye timamu ni selfish likija swala la mapenzi...who would be happy to share the attention of her lover with another woman (if it's only attention because I doubt)?....wish ningekuwa mke wa huyo jamaa...angechuzi Lara 1 or me...

Upole ukizidi hayo ndio matokeo...alichosema Lara 1 kina exist saana tu...nina rafiki yangu mume wake ana urafiki wa utata na mabinti, na yuko wazi in the name of just friends lakini kuna kila ushaidi anamega.

Ila wanaume wa hivyo wako very smart wanaoaga wake wapole mpaka wajinga!!!!

kuna jamaa ana mke wake, na huwa anaenda kwake na mwanamke mwingine kamtambulisha hadi wife kuwa yule ni rafikia ake, kumbe kiburudisho chake huo si ufala unafanyiwa....
kwangu mie hiyo kitu hakuna, hata rafiki angu mazoea na shemejiye sitaki!!!!
 

Hahahaaaaaaaa! Mkewe mtata sanaaaa! Yaaani usimpimie! Sema kuna mambo yako out of control ya mkewe! Kama hili la urafiki! Anajua hawezi kumpangia marafiki wa kuwa nao! Na yeye aliolewa huyo bwana akinywa, plus yeye hanywi, sasa hawezi tu kumkataza au kumpangia akanywe na nani? Mumeo akiwa mnywaji na wewe sio inabidi tu ukubali yoteeee!
 
Tunahitaji sana kampani ila wake zetu wakiona hulali usiku mpaka ujibu page 10 za maswali na ujibu kulingana na marking scheme yake. Ili kuepuka hilo basi tunajitenga ingawaje kwa maumivu
 

Alikuwa hajui kama hicho ni kiburudisho cha mumewe, kinaenda kwa kujiachia kabisa na zawadi za watoto anabeba!!!
 
Mimi mbona bar natinga na chupa ya soda...mume wangu anakunywa mimi sinywi lakini akitaka kwenda bar; mi ndo company yake...na hiyo inasaidia turudi mapema nyumbani kuwahi watoto kabla hawajalala (maana watoto wetu wako demanding...they have to see us before going to bed)...waache hao wanaotumia excuse ya kutokunywa kubweteka nyumbani waendelee kusaidiwa.

 
Tena maswali yenyewe si ya multiple choice yooote ni ya ku explain na ku discuss...ili ujikanganye akukamate vizuri. Lol. Kama namuona wife wako vile


Tunahitaji sana kampani ila wake zetu wakiona hulali usiku mpaka ujibu page 10 za maswali na ujibu kulingana na marking scheme yake. Ili kuepuka hilo basi tunajitenga ingawaje kwa maumivu
 

Usemacho ni kweli nyumba kubwa..... They are very smart hata katika kujieleza kwa wake zao. Na kwa bahati nzuri au mbaya huwa wanapata wake wapole kweli.

Mie hapa ni muhanga wa huo urafiki ingawa ni kwa boyfriend wa mtu na sio mume wa mtu. Mwisho wa siku nilijikuta matatani baada ya girlfriend wa huyo jamaa kuhisi mie natoka na jamaa yake kumbe we were friends with benefit.

Dah kidogo nihamishwe mji, ila kwa sasa tumepunguza ukaribu kwa kiasi kikubwa!!!!
 
Last edited by a moderator:

Si mpaka huyo mwanaume akubali uambatanw naye.. Wengi wao wanaona kama wanabanwa kwenda kwa washkaji zao. Wanadai wanahitaji privacy!!!!!!!!!!
 

Umehama mlengo wa Kushoto?

Unajua lara 1 anajaribu kulinda ndoa ya mtu!!!!!!!!!!!
Kuna wakati alisema kuna mume wa mtu anahitaji ushauri kwake ili amwamche mke wake kwa sababu amezidi uzito!!
Leo ni ishu ya Mume wa mtu mwingine anahitaji saana kampani ya Lara 1 pengine kwa sababu mke wa jamaa hastahili!

Mungu akupe nini zaidi kwa kujaaliwa hekima ya kupewa "first priority"
 
Last edited by a moderator:
Nimeogopa kuchangia huu uzi.

Nitatolewa macho na mwanangu King'asti
 
Last edited by a moderator:

Hahaaaaaaaaaa! Wawili tu mwaka mzima ishakuwa nongwa!!!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…