Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!


Hahahaaaaaa! Babu toa hoja za msingi na kidini ikibidi kuwa ubaya uko wapi? Sio flani hatojisikia vizuri! Hilo halina mashiko!
 
Huyo anakulia timing tu...siamini kama hatakuja kuomba kidude. Urafiki na mume wa mtu haufai. Jiweke kwenye nafasi ya mke wa huyo jamaa...kama wewe ndo mke wake utafurahi jamaa akiwa na company na mdada mwingine? Kwangu mimi it is not OK.

Kama hawapeani vidude haiwezi kunipa pressure kabisaaa! Labda ningejiboreshaa hadi kumfunika huyo dada ili Hubby agundue tu kuwa yule mawe mkewe ndo almasi kaniacha ndani!!!!!!
 
Hahahaaaaaa! Babu toa hoja za msingi na kidini ikibidi kuwa ubaya uko wapi? Sio flani hatojisikia vizuri! Hilo halina mashiko!
lara 1,

Nadhani hutaki kuziona hoja na kwa hiyo hutakaa uzione....

Nimeongea kutoka kwenye uzoefu wa maisha ya ndoa na kama retired Maj Gen, na bado unabisha!!

Kuna vitu vingine haviwezi kuhukumiwa kwa sheria za nchi yoyote ikiwemo Tanzania au Jumuiya ya Madola...

They are wrong acts...basi..!!

Sasa kama unasubiri hoja...poa tu!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ujue watu wanavonisemasema ndo imenikeraaa ila nikiwaambia waseme ubaya gani nautendaaaa??????? Wanabaki shauri lako, dhambi! Dhambi ipi???????????

Alaaa kumbe kuna history behind!
 

Hahahaaaaaaaaaaaa! Meja General bwanaa! Sasa tufanye nimekubaliana na wewe (Of which bado sijakubaliana!) Naanzia wapi kumkata huyu baba nanii!!!!!!! Mind you 3 long years of friendship!!! Siwezi kuacha tu kupokea simu yake! Na kumsomea risala bwana wewe umri umeenda kaa na mkeo mfanye maendeleo, mkeo hatofurahia hili, mimi sitoki tena na wewe blah blah blah! Its too late for that manake ni unafiki!!!!!!! Miaka 3 sijayaona yote hayo leo ndo nijifanye Sister Lara 1!!!!!!!! Mmmmmmmmmmmh!
 
Alaaa kumbe kuna history behind!


Kweli kabisa dada yangu....

Mzima wewe Kaunga,

Let me wish you a very happy and enjoyable 2013....

Kijana anaendeleaje??

Sorry lara 1, si uchakachuaje ila nimem-miss mdogo wangu!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Alaaa kumbe kuna history behind!

History ni watu kwenye unywaji nikiwakaribisha waongeze bili, na wasinywe kwa mawazo saa ya kuondoka wanaanza kuuliza yule ndo shemeji mpya? Flani imekuwaje? Nawaambia ukweli! Nooooo! Yule ni Flani rafiki yangu, ana MKEWE na Mtoto, jst company!!!!!! Ndo wanaanza risala zao ndeeefu! Na bia walizokunywa wanaanza kuziona chachu!!!! LOL! Japo wengine vichwa vibovu wanadai kama shamba limenishinda niwaunganishe wao wakalilime!!!!!!!!! Sasa nikiwagomea kuwa Noooooo! Yule ana MKEWE na Mtoto wanaanza kunigeuzia kibao kuwa sina lolote kama ana mkewe mimi nafanya nae nini pale!!!!!! Tena wana nituhumu mie ndo mnafiki zaidi coz simpi chochote zaidi ya kumlia pesa zake! LOLEST! Bora niwaachie wao wampooze! Sasa unaona mi simtendeshi dhambi na siruhusu mtu amtendesha dhambi! The Wife is Safe with Me!
 

Kwa kuwa hadi sasa hujaona kama unachofanya siyo vizuri au ni kosa,

Haitakuwa sahihi na wala siyo vizuri kuongelea mbinu za kujiweka mbali na yeye...

Ila kama kweli ungejua kuwa unachofanya ni kitu kisichopendeza kwenye mahusiano kama ambavyo wengine tumekueleza, ingekuwa rahisi kutafuta remedy ambayo haitawaumiza nyote...

Kwa sasa endelea tu mdogo wangu lara 1,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

Hao marafiki zako unahisi ni wajinga au vichwa vyao vina matatizo??

In any case, they are either right or you are .....!!

Babu DC!!
 

Hahahaaaaaaaaaaaa! Babu umeonaaa NO WAY OUT!!!!! Ikabidi uzuge! Kweli Sikio la Kufa Halisikii Dawa!!!!!!!
 
Hao marafiki zako unahisi ni wajinga au vichwa vyao vina matatizo??

In any case, they are either right or you are .....!!

Babu DC!!

In your Case who is the friendlier devil btn me n my friends!!!!!!!!!! (Usiwahukumu sanaa hao marafiki life is not fair to all of us and never was!)
 
Hahahaaaaaaaaaaaa! Babu umeonaaa NO WAY OUT!!!!! Ikabidi uzuge! Kweli Sikio la Kufa Halisikii Dawa!!!!!!!


Hapana lara 1,

Wewe mwenyewe umeshafunga milango, ndo maana nikaona kuwa hakuna haja ya kujaribu kukushauri...

Sasa nitakupa ushauri wa nini wakati huoni kama unachofanya ni kibaya, kwako na kwa huyo mume wa mtu??

My simple advice,.... endelea tu mdogo wangu!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Wajua nn, hakuna baya wala dhambi yoyote unayotenda ila kuna ishu zifuatazo zinazoleta utata ama kuweka ukakasi kwenye uhusianao huo:

jamii yetu ya kitz haija-accept a normal friendship kati ya mwanamke na mwanaume let alone kati ya binti na mume wa mtu, ndomana ni vigumu watu kukuelewa, muda wote watu wanawaza ngono ktk aina hiyo ya urafiki..

wanaume wengi wa kitz(waume za watu wakiwemo) ni nadra sana atake binti awe rafiki yake tu...wengi akitaka ukaribu na wewe jua anataka kidude na anajua ni kupitia ukaribu huo ndo atapata chance ya kukuvua pichu....

wanaume wengi wa kitz(wakiwemo waume za watu) ni wepesi sana kutelekeza familia pale anapokuwa na urafiki/uhusiano nje/mwanamke mwingine na ndo mana wengi wanaona si sahihi wewe kuwa na urafiki na huyo mume wa mtu kwani yaweza pelekea akasahau majukumu yake nyumbani coz of you

urafiki wa aina hiyo maranyingi huishia kwenye mahusiano ya kimapenzi which is not good..na ndomana miye nakaa futi 100 away from waume wa watu...hii ni ktk kujiprotect mimi mwenyewe coz anything can hapenn anytime

waume wengi wa kitz hawawezi kuwa rafiki na wake zao (which is wrong), kitu ambacho huwaletea upweke sometimes ka huyo rafiki yako, thats y wanatafuta vibinti outside kufill hiyo emptyness wanayofill inside....

 
inaonyesha we ni mtu wakuharibu ndoa za watu maana maelezo yako yanaonesha jinc gani wamtega kwa mitego
 


Hahahaaaaaaa! Babu duniani hatulingani some poople know by their heads, some learn from others!!!!!!!!!!!! Labada bado sijajua coz hamna alie nijuzaaaa!!!!!!!

We sahuri tu, utakuwa umefanya your part hata nikioverule huo ushauri hutokuwa wa kulaumiwa mbele za hii dunia na juu ya mbingu! Hapo itakuwa ni mimi ndo mkosefu!

Mwagaa advice hapa nimetega masikio mawili!
 
In your Case who is the friendlier devil btn me n my friends!!!!!!!!!! (Usiwahukumu sanaa hao marafiki life is not fair to all of us and never was!)


Mdogo wangu lara 1,

Siku zote huwa sithubutu kumhukumu mtu, ila hujaribu kuangalia pande zote mbili za shilingi..

Kujua nani ni rafiki mzuri, itategemea uko upande gani...

Kwa wale washabiki wa kupoza kiu, watakuona wewe mbaya kwa sababu unamzibia jamaa asipate kitu roho inapenda kwa kumbana kwenye kona kali muda wote...Ila wale wenye mtazamo kama wako, watakuona wewe mzuri kwa sababu unamkinga dhidi ya mashambulizi ya watafutaji....

Je, ni vizuri kumkinga mtu au kumwacha ajilie kwa raha zake.....??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
inaonyesha we ni mtu wakuharibu ndoa za watu maana maelezo yako yanaonesha jinc gani wamtega kwa mitego

Usihukumu bila vigezo!!!!!!!!!! Toa facts na grounds za accusation zako! Ndo tutaelewana sio kuropoka maneno based on hisia zako tu!
 


Hahahahahahahah,

Ngoja nikafanye consultations kwa bibi....

Will be back soon....lol!!

Babu DC!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…