Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,406
Jisahaulishe tuu dada, ukija kushtukia mmeangukiana na nguo zimevuka ghafla zimeanguka chiniWale Kaka zangu humu, nitaanzaje kuwakimbia? Acha nione Kama watanibandua[emoji6]
Jisahaulishe tuu dada, ukija kushtukia mmeangukiana na nguo zimevuka ghafla zimeanguka chiniWale Kaka zangu humu, nitaanzaje kuwakimbia? Acha nione Kama watanibandua[emoji6]
Kiukweli mitandao ya kijamii imetukutanisha wengi na inasaidia sana kufahamiana pamoja na mambo mengine
Lakini kwangu mimi kila binti niliyefahamiana naye kupitia mitandao ya kijamii au simu za kiganjani tumeishia nyumba za wageni na kugegedana tena bila hata kutongoza sijui nakupenda sijui nakuona kwenye grass...yaani kiuraini tu.
Sasa najiuliza kwa wake za watu ambao mnachati kila kona sijui kama mnapona....?
Teh teh najaribu kuona uwezekano....bado haiwezekaniJisahaulishe tuu dada, ukija kushtukia mmeangukiana na nguo zimevuka ghafla zimeanguka chini
Bas fanya mimi niwe kaka ako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh teh najaribu kuona uwezekano....bado haiwezekani
Bahati mbaya...huwa nachagua Mimi na sio wewe kunichagulia...wewe ushaniambia nijiandae kuchojoa...ina onyesha nia yako si nzuri kabisa...[emoji125][emoji125][emoji125]Bas fanya mimi niwe kaka ako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka zangu wakikukubali tutakukaribisha kwenye familia...Na hivi sina mdogo wa kike utakuwa mdogo wangu vizuri saaana tuu
Sasa ukishajua intention si unajiandaa kukataa, mbona easy tuuBahati mbaya...huwa nachagua Mimi na sio wewe kunichagulia...wewe ushaniambia nijiandae kuchojoa...ina onyesha nia yako si nzuri kabisa...[emoji125][emoji125][emoji125]
Basi hufai, maana hao Makaka zangu humu hawajawahi hata kunionyesha hiyo intention ....Sasa ukishajua intention si unajiandaa kukataa, mbona easy tuu
Sasa haina effect kwangu maana usipokuwa dada angu sikuli ukiwa dada kuna garantee ya kuliwa huko mbeleni, so option zote fresh tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi hufai, maana hao Makaka zangu humu hawajawahi hata kunionyesha hiyo intention ....
Nel niache bwanaSasa haina effect kwangu maana usipokuwa dada angu sikuli ukiwa dada kuna garantee ya kuliwa huko mbeleni, so option zote fresh tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ok mkuuNel niache bwana
Wanaliwa sana mkuu (hapa nawazungumzia wale wa whatsapp).Sasa najiuliza kwa wake za watu ambao mnachati kila kona sijui kama mnapona....?