Urafiki kupitia mtandao

Urafiki kupitia mtandao

vigota

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
188
Reaction score
151
Kiukweli mitandao ya kijamii imetukutanisha wengi na inasaidia sana kufahamiana pamoja na mambo mengine

Lakini kwangu mimi kila binti niliyefahamiana naye kupitia mitandao ya kijamii au simu za kiganjani tumeishia nyumba za wageni na kugegedana tena bila hata kutongoza sijui nakupenda sijui nakuona kwenye grass...yaani kiuraini tu.

Sasa najiuliza kwa wake za watu ambao mnachati kila kona sijui kama mnapona....?
 
Kiukweli mitandao ya kijamii imetukutanisha wengi na inasaidia sana kufahamiana pamoja na mambo mengine
Lakini kwangu mimi kila binti niliyefahamiana naye kupitia mitandao ya kijamii au simu za kiganjani tumeishia nyumba za wageni na kugegedana tena bila hata kutongoza sijui nakupenda sijui nakuona kwenye grass...yaani kiuraini tu.
Sasa najiuliza kwa wake za watu ambao mnachati kila kona sijui kama mnapona....?
Unachat na wake za watu kumbe

Kuwa makini mkuu
 
Mimi nimefita marafiki wengi nliokutana nao kwny mtandao,wengi wao nimeona hawafai.

Saa nyingine uaminifu unaojenga kwa watu unkisababishia matatizo tu
 
Zamani nilikua najiulizaga mtu anafanyaje mambo kama hayo anakuja kujisifia lakini baadae nikaja kugundua, ukiona mtu anajisifia hivyo ujue hajawahi kufanikiwa chochote anataka kupima upepo kama wapo waliokwisha kufanikiwa kwa kiwango hicho. Pia malaya wanaojiuza wapo sana kwenye kila mtandao na ndio hao unaoishia kuwagegeda ndio maana unasema mambo yenu yanaishia nyumba za wageni maana huwa hawatakagi mazoea zaidi ya chapaa tu.
 
baada ya mwez mtoa mada anakuja kudai ameambukizwa pangusa hivyo anaomba tiba
 
baada ya mwez mtoa mada anakuja kudai ameambukizwa pangusa hivyo anaomba tiba
Nimeona hakuna faida yoyote kuwa na marafiki wa kimtandao hasa wa kike nimeleta uzi huu baada ya kutubu na kuacha kabisa hii tabia kiukweli sio nzuri
 
Nimeona hakuna faida yoyote kuwa na marafiki wa kimtandao hasa wa kike nimeleta uzi huu baada ya kutubu na kuacha kabisa hii tabia kiukweli sio nzuri
Labda nikuulize swali...unakuwa na lengo gani pale unapoanza mawasiliano na hao mabinti?
 
Zamani nilikua najiulizaga mtu anafanyaje mambo kama hayo anakuja kujisifia lakini baadae nikaja kugundua, ukiona mtu anajisifia hivyo ujue hajawahi kufanikiwa chochote anataka kupima upepo kama wapo waliokwisha kufanikiwa kwa kiwango hicho. Pia malaya wanaojiuza wapo sana kwenye kila mtandao na ndio hao unaoishia kuwagegeda ndio maana unasema mambo yenu yanaishia nyumba za wageni maana huwa hawatakagi mazoea zaidi ya chapaa tu.
Kujivunia kugonga malaya wa mtandaoni ni low self esteem, maana hata hao wake za watu wanaenda huko mtndaoni ili wapate kutimiza haja zao kwa watu wasiowafaham maana mtaan kwao bwana mkubwa anafahamika, so sio swala la kujivunia ni pathetic inshort
 
Weee endelea kutafuna...nitakuja kukusaidia kumeza
Hamnaga urafiki kati ya mwanaume na mwanamke, labda baina ya ndugu tu mnaochangia damu, ila mtu anatafuta rafiki wa mtandaoni kwa lengo moja tu akijipindua analamba asali
 
Hamnaga urafiki kati ya mwanaume na mwanamke, labda baina ya ndugu tu mnaochangia damu, ila mtu anatafuta rafiki wa mtandaoni kwa lengo moja tu akijipindua analamba asali
Wale Kaka zangu humu, nitaanzaje kuwakimbia? Acha nione Kama watanibandua
 
Back
Top Bottom