Credere Potest
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 217
- 299
Acha kutunga tunga vijineno vya kuokoteza Alf unatuletea hapa...... Sasa hapo Membe na Lowasa vimeingiaje?
PovuHebu acheni kulitaja jina la Lowassa katika Mambo yenu ya kipuuzi
ACHENI KUOTA NDOTO ZA MCHANA. MAGUFULI ATAKUWA MWENYEKITI WA CCM NA MGOMBEA MWAKA 2020. HUYO LOWASSA HATOKUWA NA MVUTO TENA NA WALA HATOTEULIWA NA CDM KUGOMBEA. KUMBUKENI DR SLAA ALITUPWA DAKIKA ZA MWISHO. CDM HAIAMINIKI HATA KIDOGOWanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!
Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!
Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!
Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!
Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!
Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!
Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!
Maswali ya kujiuza
Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???
Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??
Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!
Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??
Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!
Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!
TukutanDodoma
Asatee!!
Ufisadi bado anapanga mikakati eti tumuache tu!! Lazima tumzonge popote alipo yupo tupo nayeACHENI KUOTA NDOTO ZA MCHANA. MAGUFULI ATAKUWA MWENYEKITI WA CCM NA MGOMBEA MWAKA 2020. HUYO LOWASSA HATOKUWA NA MVUTO TENA NA WALA HATOTEULIWA NA CDM KUGOMBEA. KUMBUKENI DR SLAA ALITUPWA DAKIKA ZA MWISHO. CDM HAIAMINIKI HATA KIDOGO
Unapo andika jina la mtu anza na herufi kubwa.Wanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!
Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!
Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!
Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!
Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!
Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!
Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!
Maswali ya kujiuza
Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???
Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??
Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!
Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??
Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!
Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!
TukutanDodoma
Asatee!!
aende tu jela akalimishwe kwa nguvuUkiwekwa chini ya Ulinzi na kufikishwa Mahakamani kujibu Makosa ya kukiuka sheria za mitandao kwa Uchochezi??
Utadai umeonewa!!
This means mleta uzi ana Povuka kwa niaba yenu ma CCMPovu
Duh basi kazi wanayoooTatizo ni masharti ya kazi waliyo pewa maana huwezi kulipwa buku 2 bila kumtaja lowasa
Mkuu naona unajifunza kuandikaWanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!
Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!
Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!
Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!
Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!
Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!
Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!
Maswali ya kujiuza
Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???
Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??
Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!
Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??
Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!
Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!
TukutanDodoma
Asatee!!
Yes hayo ndio magumu wanayo kabiliana nayo vijana wa lumumbaDuh basi kazi wanayooo
haya njoo uchukue ndizi uleWanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!
Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!
Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!
Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!
Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!
Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!
Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!
Maswali ya kujiuza
Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???
Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??
Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!
Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??
Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!
Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!
TukutanDodoma
Asatee!!
Kichwa cha habari na maelezo ni tofauti kabisa! invalid argument! OOPS! can not find server, if the problem persist please consult your system administrator or supplier.Wanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!
Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!
Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!
Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!
Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!
Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!
Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!
Maswali ya kujiuza
Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???
Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??
Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!
Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??
Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!
Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!
TukutanDodoma
Asatee!!
Nawewe kama ndo wazee tulionao basi tumekwisha kama taifaKama hawa ndiyo vijana tulio nao, basi hakuna matumaini mazuri kwa siku zijazo.
Mtu anaandika habari yake, haina chanzo, haina ushahidi hata sehemu moja, maelezo tofauti na kichwa cha habari na tofauti ya jumuisho. Furaha yake ni kuona ameandika jina la Lowasa na Membe! Kwa uandishi kama huu, na kama huyu ni graduate, basi nchi hii tumeua elimu, na vijana wetu hawana silaha za kushindana na vijana wa mataifa mengine kiweledi katika karne hii ya ushindani mkubwa.
Hivi Lowasa aliwafanya nini?
Hivi Lowasa aliwafanya nini?
Hivi Lowasa aliwafanya nini?
Hivi Lowasa aliwafanya nini?
Hivi Lowasa aliwafanya nini?