Urafiki huu wa Lowassa na Membe umeanza lini??

Urafiki huu wa Lowassa na Membe umeanza lini??

Wanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!

Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!

Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!

Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!

Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!

Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!

Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!

Maswali ya kujiuza

Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???

Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??

Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!

Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??

Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!

Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!

TukutanDodoma

Asatee!!
Angalizo: kama kiswahili kinakosewa kisarufi, mada unayotaka kuijadiri inakosa maana.
 
Kweli Mh. Lowassa kawashika lumumba hapakaliki. Sasa uhusiano wa Membe na Lowassa mbona hujaweka. Vikao walikaaa lini na wapi.
 
Mihemko mingi sana yaelekea Lowasa ataendelea kuwa tishio hata akiingia kaburini. Tunachojua rais ndiye mwenyekiti anayesubiri kuchukua kiti keshokutwa na hakuna wa kulizuia hilo. Hizi ni nyingine ni storı tu za kufanya vijiwe visichache
 
Kama nyie ni maadui mnawezaje shiriki mbinu moja ya kukwamisha mtu mwingine!!!
 
Angalizo: kama kiswahili kinakosewa kisarufi, mada unayotaka kuijadiri inakosa maana.
Ujumbe kama umekufikia nipoa "it si not an kiswahili exm!! Uwezi jua nilisoma na nilikulia wapi!!
 
mbona sijaona connection ya Membe na Luwassa hapo? kichwa cha habari na habari yenyewe viko tofauti.
hongera naona na wewe umeingiza posho leo
Ukiangalia mahusiano ya kichwa cha hili bandiko na yaliyoandikwa utaona kuna tofauti kubwa sana. Kwa ujumla habari inakosa ulinganisho kati ya Lowassa, Membe na Mkutano Mkuu. Mtoa mada jaribu kudadavua na kuionyesha jamii uhusiano ili ueleweke.
 
Mwacheni Lowasa apumzike na majungu na lawama za ccm, tangu Magu alipopata urais ni wazi ndie angekuwa mwenyekiti wa chama, kama hamumtaki tokeni huko ccm. Haya madhara ya kulundikiana vyeo mlifikiri mtakomoa watanzania kumbe mnakomoana huko huko ccm na katiba zenu mbovu, hata mkilazimisha kikwete aendelee mpaka 2017, baada ya yeye lazima atakuwa Magu. Nendeni Dodoma kumpa Magu uenyekiti wake, na si KUCHAGUA MWENYEKITI.
 
Fisadi kawashika mpaka akiri pole yako!! Uwezi fikiri tena zaidi ya hapo!!
Wewe huna uwezo wa hata kuandika uzi ukaeleweka ni afadhali uendelee na kazi zako za kusafisha viatu vya mabosi wako hapo lumumba
 
haya mambo tunayakuza sana ktk social media ukweli ni kuwa hamna wamkumzuia magufuri kuwa mwenyekiti!!
 
Katika habari nzima sijaona connection ya lowassa na Membe! Ila mwishoni ndio naona Membe! Ccm inaangushwa na watu wa aina yako
 
Wanajisumbua bureeee atakayetangazwa ndiye ameshinda na atashinda kwa kishindooo huu ndo utaratibu wetu na matokeo always yanaheshimiwa Chama dume dume la mbegu kama noma na iwe noumerrr
 
Wanabodi njia ya mwisho kabisa ambayo mafisadi alioko ndani ya ccm wanajaribu kuitumi kuweka kalata yao ya mwisho kujaribu kuzuia mwenyekiti mpya asitangazwe kama inavyotakiwa kufanyika !!!!

Inasemekana asilimia fulani ya wajumbe majipu wanaotakiwa kitumbuliwa wanatumia ushawishi wa lowassa kama mwanamkati atayesaidia kuakikisha Raisi magufuli hapati nafasi hiyo katika mkutano huo wa July 23!!

Mjumbe mmoja aliyefanyiwa maojiano alisema hivi ""hatuwezi kukubali kubuluzwa kama walivyotufanya katika mkutano wa kumpata mgombea uraisi no no no,,,,enough is enough"" alisema mjumbe huyo bila kutaka kutajwa jina!!!

Pia upande wa pili ni kwa lowassa mwenyewe Kutaka kumzuia magufuli asiwe mwenyekiti ili aje apate mgombea thaifu wa kupambana Naye hapo 2020 pale ambapo magufuli atakatwa ndani ya chama!!

Atajipenyeza na kupanga safu yake ndani ya chama cha ccm!!

Nguvu hiyo inakuja baada ya kuona mtu hatari aliyemkata JK anakaribia kuondoka ndani ya chama hivyo wanatumia mwanya huo kujenga mtandao nje na ndani ya chama chake!!!!

Lowassa ameenda mbali zaidi na kutaka kutengeneza mtandao ambao utakuwa ukipinga majukumu ya selikari ndani ya chama wazi wazi na chini kwa chini kuhakikisha selikari inakosa mvuto kwa wananchi!!!!!

Maswali ya kujiuza

Urafiki wa membe na lowassa umeanza lini wa kutaka magufuli ashindwe kutimiza majukumu yake ???

Lowassa kama alishindwa kufanya kampeni 2015 je 2020 ataweza??

Membe pesa za Gaddafi si ukae uzile tu maana hakuna faida utapata kupitia mkakati huu!!

Hii nguvu inayotumika kwanini nikubwa halafu ya chini kwa chini.??

Niwashauri tu wote walio nyuma ya mikakati hii miovu hakuna atakayeshinda mbele ya Joseph Pombe Magufuli !!!

Endeleeni na kazi zingine hii imeshajulikana!!!

TukutanDodoma

Asatee!!
duuh...LOWASA amerudi tena CCM...!!!!!????🙄
 
Back
Top Bottom