PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wanajamvi nambieni...
Ni urafiki gani huu, kati ya usingizi na kifo?
Ni undugu gani huu, kati ya hofu na mauti?
Ni ujirani gani huu, kati ya mashaka na upotevu?
Ni ushirika gani huu, kati ya ugonjwa na mahututi?
Ni umoja gani huu, kati ya jeneza na kaburi?
Ni mapenzi gani haya, kati ya mfu na sanda?
Ni urafiki gani huu, kati ya usingizi na kifo?
Ni undugu gani huu, kati ya hofu na mauti?
Ni ujirani gani huu, kati ya mashaka na upotevu?
Ni ushirika gani huu, kati ya ugonjwa na mahututi?
Ni umoja gani huu, kati ya jeneza na kaburi?
Ni mapenzi gani haya, kati ya mfu na sanda?