Urafiki au Upumbavu au ? : Kununuliana BIA kwenye sehemu za Starehe!

Hahaaaaaaaaaaaaa ..................kweli marafiki wa pombe hawafai.

mkuu
ndo sababu mimi sina marafiki wa pombe
mbaya zaidi unaweza kukuta keshaopoa na kimwana
na pesa ya gesti hana,anakusubiri umuokoe,watu wa ajabu mno
na ukimkatalia uadui unaanza,
mwingine unakuta kushasambaza uongo kuwa
unamletea pesa yake,kumbe hakudai wala nini
...
wewe ndo unamkopesha,watu wako funny....
 
Wewe rafiki wewe viwango unajiwekea mwenyewe ukisubiri wote mfanane umekwisha hata misafara ya kenge utakuwepo lol.

HAA! sister angu kabisa.mi sikujua kama hivi vitu vinarithishwa bana!inawezekana nimerithi hii kitu(kibri,japo ni sunna tu) dadake.
kweli bana nyie sio wa bia na nyama choma,hebu wekeni viwango pale juu kidogo afu muone kama wahudumu watakuwa na kazi ya kusafirisha vikaratasi vyenye namba za simu tena!!
 
'urafiki wa bar huishia bar' kuna kaukweli flan mlevi mambo yake yakimpindia wengine humkimbia
 
Skulmeti popote pale ulipo......... kuna biya zako nimemwachia Grace pale Zanzibar Bar....... Nimeamua kukufanyia upumbavu flani hivi kudadadadeki...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom