Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Hahaaaaaaaaaaaaa ..................kweli marafiki wa pombe hawafai.
mkuu
ndo sababu mimi sina marafiki wa pombe
mbaya zaidi unaweza kukuta keshaopoa na kimwana
na pesa ya gesti hana,anakusubiri umuokoe,watu wa ajabu mno
na ukimkatalia uadui unaanza,
mwingine unakuta kushasambaza uongo kuwa
unamletea pesa yake,kumbe hakudai wala nini...
wewe ndo unamkopesha,watu wako funny....