iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 377
- 884
Natumai ni wazima wa afya nyote.
Mimi nahisi nina tatzo langu binafsi la kutumia pesa nyingi pindi ninapokua mpweke, najikuta nafanya vitu vingi vinavyonigharimu pesa nyingi ili moyo wangu uwe na furaha na amani,
Naombeni ushauri na ufafanuzi kuhusu hili jambo, huwa ni kwangu tu ama hata kwenu nyinyi kwa upande wenu pindi muwapo na stress/ upweke huwa mnajikuta mnafanya vitu vingi vyenye kutumia gharama kubwa ili ku-kutuliza upweke na stress.?
Mimi nahisi nina tatzo langu binafsi la kutumia pesa nyingi pindi ninapokua mpweke, najikuta nafanya vitu vingi vinavyonigharimu pesa nyingi ili moyo wangu uwe na furaha na amani,
Naombeni ushauri na ufafanuzi kuhusu hili jambo, huwa ni kwangu tu ama hata kwenu nyinyi kwa upande wenu pindi muwapo na stress/ upweke huwa mnajikuta mnafanya vitu vingi vyenye kutumia gharama kubwa ili ku-kutuliza upweke na stress.?