Upweke unanitesa jamani

Upweke unanitesa jamani

Kama Uko serious tuwasiliane. Kama hauko serious kaushia. Through Pm please
 
Njia rahisi ya kuondokana na upweke ni kutupia namba za simu hadharani.
 
Maisha ya kuwa single matamu sanaaaaa , karibu kwenye kundi hili .... fanya kazi kwa bidii , fanya mazoezi , Kula vizuri , huzuria nyumba za ibada , wait for the true love to come ! Acha kuburuzwa na hisia za kuendekeza
 
Yani ndo ninachokupendea mpendwa..Uwa haunisahau kwenye matukio muhimu..Ngoja nimtafute nikalikemee hilo pepo la upweke..
Btw ukibadili avatar uwe unatoa taarifa..Nusu niingie maliwatoni
1477222537759.jpg
 
kwa bahati mbaya huwa sipendi kujirusha hovyo..mim na starehe ni maji na mafuta ...teh pesa ninazo kiasi
Huna rafiki wa company? Hebu nitafute nikupe kampani...uwe na hela za kula bata lakini.
I mean bills utaclear wewe!
 
Sitatumia mwanya huu kukupata maana hiyo itakuwa ni tamaa. Ila ninachoweza kufanya ni kwanza kukuoa pole...
Alaf pili.. hata mm nimepigwa kibut juzi tu hapa.. mpaka sasa najihis barid.
Tatu.. take my tuwasiliane

asante ...nitapoa kwa jina la yesu kristu
 
binti wa kirombo mbona unajirahisisha hivyo.....?Vizuri havitaki haraka..

sio najirahisisha bali nimesema ukweli ,ili nipate ushauri kwa wadau huku...ningetaka kujirahisisha nisingekuja huku...
 
kwa bahati mbaya huwa sipendi kujirusha hovyo..mim na starehe ni maji na mafuta ...teh pesa ninazo kiasi
Oh dear!Aliyekuambia kula bata ni kujirusha ni nani?
Mimi huwa sijirushi mama,clubs and the likes ni sumu kwangu...zaidi nakula battaz u know?
Heheeeee uulizage kwanza mama,bata zipo za aina nyingi.
Kalaghabaho
 
teeeh ..unaonekana unapenda michambo daily .
Oh dear!Aliyekuambia kula bata ni kujirusha ni nani?
Mimi huwa sijirushi mama,clubs and the likes ni sumu kwangu...zaidi nakula battaz u know?
Heheeeee uulizage kwanza mama,bata zipo za aina nyingi.
Kalaghabaho
.,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom