umri wa nin wew afsa wa nida!utachelewa frusa iyo joking kdgUna umri gani?
kwa mpangilio huu wa tenses sidhani kama wallet inasomaSitatumia mwanya huu kukupata maana hiyo itakuwa ni tamaa. Ila ninachoweza kufanya ni kwanza kukuoa pole...
Alaf pili.. hata mm nimepigwa kibut juzi tu hapa.. mpaka sasa najihis barid.
Tatu.. take my tuwasiliane
Kama upo dar ni-pm, tuangalie namna ya kuitendea haki weekend hiiJaman ni miezi mitano tang injinia wa kipare aone hawez kupika na tena chungu kimoja na mim ,,,,, baada ya maumivu na kumsahau sasa nimekuwa mpweke mpka basi yaan nakaa ndani kama mwali nataman siku zote ziwe siku za kazi nikitaka kampan ya marafiki wananiambia wako na mabebi wao jaman upweke, niache upweke khaaa nashindwa sijui huu upweke utaisha lini , Ijinia wa kipare kwann ulinifanyia hivi hadi sasa nateseka kuwa mpweke sikuzoea hivi , uwiiii jaman
Hizi fursa unavyozikimbilia!!Huna rafiki wa company? Hebu nitafute nikupe kampani...uwe na hela za kula bata lakini.
I mean bills utaclear wewe!
Hizi fursa unavyozikimbilia!!
sasa mtu kama huyu utamuambiaje?
Mmh company kasema anayo ila wako na mababy wao!![]()
![]()
sasa mtu kama huyu utamuambiaje?
Analia hana company ya marafiki wakati watu tupo bwana?![]()

Sidhani kama kajirahisisha bali ameongea yaliyo moyonibinti wa kirombo mbona unajirahisisha hivyo.....?Vizuri havitaki haraka..
I never knew.....Kumbe ndo maana pm yangu imejaa SMS zako,i never know!......Ngoja nichukue hatau sasa hivi!!
Maliwatoni kutafuta nini tena, hebu malizana na binti wa kirombo ulete mrejesho hapa, Maliwatoni muachie mtumishi Illovo make hana dem yuleYani ndo ninachokupendea mpendwa..Uwa haunisahau kwenye matukio muhimu..Ngoja nimtafute nikalikemee hilo pepo la upweke..
Btw ukibadili avatar uwe unatoa taarifa..Nusu niingie maliwatoni
..damn straightkwa mpangilio huu wa tenses sidhani kama wallet inasoma

