Upweke unanitesa jamani

Upweke unanitesa jamani

Binti wakirombo tunaishi mara moja ...furahia maisha yako

Injinia wakipare sahizi anatumbuliwa chunusi na mkewe wewe unateseka bure
 
Jaman ni miezi mitano tang injinia wa kipare aone hawez kupika na tena chungu kimoja na mim ,,,,, baada ya maumivu na kumsahau sasa nimekuwa mpweke mpka basi yaan nakaa ndani kama mwali nataman siku zote ziwe siku za kazi nikitaka kampan ya marafiki wananiambia wako na mabebi wao jaman upweke, niache upweke khaaa nashindwa sijui huu upweke utaisha lini , Ijinia wa kipare kwann ulinifanyia hivi hadi sasa nateseka kuwa mpweke sikuzoea hivi , uwiiii jaman
Miezi mitano tu unalalamika hivyo, je sisi wenzio tulioishi miaka saba tutasemaje!
 
Maliwatoni kutafuta nini tena, hebu malizana na binti wa kirombo ulete mrejesho hapa, Maliwatoni muachie mtumishi Illovo make hana dem yule
Yaani hiyo avatar ilifanya nisikugundue kabisa!!
 
Huna rafiki wa company? Hebu nitafute nikupe kampani...uwe na hela za kula bata lakini.
I mean bills utaclear wewe!


Ha ha haah....nimeipenda hiyo. Unistue basi tuwe wote ili nimsaidie ku-clear bills
 
Huna rafiki wa company? Hebu nitafute nikupe kampani...uwe na hela za kula bata lakini.
I mean bills utaclear wewe!


Ha ha haah....nimeipenda hiyo. Unistue basi tuwe wote ili nimsaidie ku-clear bills
 
Maliwatoni kutafuta nini tena, hebu malizana na binti wa kirombo ulete mrejesho hapa, Maliwatoni muachie mtumishi Illovo make hana dem yule
Teh teh..Namaanisha nilivyoiona picha nikataka kuingiza vocal..Kuangalia vizuri kumbe ni mpendwa..Binti wa kirombo nishamalizana nae...Leo naenda kukemea pepo
 
Teh teh..Namaanisha nilivyoiona picha nikataka kuingiza vocal..Kuangalia vizuri kumbe ni mpendwa..Binti wa kirombo nishamalizana nae...Leo naenda kukemea pepo
Aaaah ndo maana nakupendaga hujawahi kuniangusha kwenye mambo ya fursa
 
@Eli79,hebu tusaidiane kuwauliza wadogo zako hili swali la mdogo wangu mama Claree...

Kwa nini wamemfanyia hivi jamani, au tuvuke boda na wao waanze kulalamika? Siyo vizuri walivyofanya.

Teh teh, nilikuwa sijaiona hii mtani. Inakuwaje engineer wa kipare amuache binti wa kirombo.

...huwa hatuwaachi watani zetu, hatuvukagi mipaka, ni k'njaro tu. Ngoja nitaongea na engineer wa kipare arudishe majeshi.
 
Teh teh, nilikuwa sijaiona hii mtani. Inakuwaje engineer wa kipare amuache binti wa kirombo.

...huwa hatuwaachi watani zetu, hatuvukagi mipaka, ni k'njaro tu. Ngoja nitaongea na engineer wa kipare arudishe majeshi.
Arudishe tu kwa kweli...

Tusijetafuta excuse ya kuvuka boda... Teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom