mangimchovu
Member
- Oct 18, 2016
- 18
- 8
unaweza kuongea yaliyo moyoni na ukawa umejirahisisha vilevile..........Sidhani kama kajirahisisha bali ameongea yaliyo moyoni
Miezi mitano tu unalalamika hivyo, je sisi wenzio tulioishi miaka saba tutasemaje!Jaman ni miezi mitano tang injinia wa kipare aone hawez kupika na tena chungu kimoja na mim ,,,,, baada ya maumivu na kumsahau sasa nimekuwa mpweke mpka basi yaan nakaa ndani kama mwali nataman siku zote ziwe siku za kazi nikitaka kampan ya marafiki wananiambia wako na mabebi wao jaman upweke, niache upweke khaaa nashindwa sijui huu upweke utaisha lini , Ijinia wa kipare kwann ulinifanyia hivi hadi sasa nateseka kuwa mpweke sikuzoea hivi , uwiiii jaman
Nataka nijue niende kwa mwendo gani kuipata fursa...isije kutumia SMG kwenye matumizi ya fimbo.umri wa nin wew afsa wa nida!utachelewa frusa iyo joking kdg
Yaani hiyo avatar ilifanya nisikugundue kabisa!!Maliwatoni kutafuta nini tena, hebu malizana na binti wa kirombo ulete mrejesho hapa, Maliwatoni muachie mtumishi Illovo make hana dem yule
Huna rafiki wa company? Hebu nitafute nikupe kampani...uwe na hela za kula bata lakini.
I mean bills utaclear wewe!
Huna rafiki wa company? Hebu nitafute nikupe kampani...uwe na hela za kula bata lakini.
I mean bills utaclear wewe!
I em nyu tehYaani hiyo avatar ilifanya nisikugundue kabisa!!
Teh teh..Namaanisha nilivyoiona picha nikataka kuingiza vocal..Kuangalia vizuri kumbe ni mpendwa..Binti wa kirombo nishamalizana nae...Leo naenda kukemea pepoMaliwatoni kutafuta nini tena, hebu malizana na binti wa kirombo ulete mrejesho hapa, Maliwatoni muachie mtumishi Illovo make hana dem yule
Aaaah ndo maana nakupendaga hujawahi kuniangusha kwenye mambo ya fursaTeh teh..Namaanisha nilivyoiona picha nikataka kuingiza vocal..Kuangalia vizuri kumbe ni mpendwa..Binti wa kirombo nishamalizana nae...Leo naenda kukemea pepo
@Eli79,hebu tusaidiane kuwauliza wadogo zako hili swali la mdogo wangu mama Claree...
Kwa nini wamemfanyia hivi jamani, au tuvuke boda na wao waanze kulalamika? Siyo vizuri walivyofanya.
Arudishe tu kwa kweli...Teh teh, nilikuwa sijaiona hii mtani. Inakuwaje engineer wa kipare amuache binti wa kirombo.
...huwa hatuwaachi watani zetu, hatuvukagi mipaka, ni k'njaro tu. Ngoja nitaongea na engineer wa kipare arudishe majeshi.