Hii ni nchi ya kufikirika. Haina Rais ila symbol ya Ikulu.
Wenzetu walifanya bread riot baada ya mkate kuwa ghali na kuadikimika madukani, Tanzania tunasubiria mvua ya sukari kutoka mbinguni that y tumepumbaa kama makinda yaliyotayari kulishwa kila aina ya takataka.Karibu wiki nzima sasa ukienda madukani kuambiwa sukari hamna ni kitu cha kawaida. Out of 10 shops three hazina sukari. Out 4 petrol stations moja haina mafuta. Kama unaishi dar hali ikoje unakoishi?