Upumbavu uwe ni kosa la jinai

Zeni2017

JF-Expert Member
Apr 27, 2017
1,247
532
6d46343674854fce98409983f2d6d242.jpg


Ingekuwa vyema watunga sheria wakafanya mchakatuo wa kuweka vigezo vitakavyofanya upumbavu uwe ni kosa ni la jinai kwa nchi zisizoendelea. Ili tujenge utamaduni wa uwajibikaji uzembe na upumbavu vinapaswa kuadhibiwa na mahakama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom