Ingekuwa vyema watunga sheria wakafanya mchakatuo wa kuweka vigezo vitakavyofanya upumbavu uwe ni kosa ni la jinai kwa nchi zisizoendelea. Ili tujenge utamaduni wa uwajibikaji uzembe na upumbavu vinapaswa kuadhibiwa na mahakama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.