Upumbavu uliotamalaki, nimetapika pilau lote la jana

Ukitaka kuishi vizuri kaa sehemu ya kuongoza na sio kuongozwa , hizi mada, vijembe kutukanana, kudharauliana ,wakati mnafanya yote haya wenzenu wanasafiri wanaenda ulaya familia zinasoma marekani na ulaya na mwisho don't trust any politician in this world.
 
Back
Top Bottom