Ni Jambo la kusikitisha na kuhuzunisha sana pia lenye kumjaza mhusika hasira pale anapogundua kuwa aliowaamini kuwa watamsaidia katika kusimamia na kumshauri wameguka kuwa wadhalilishaji wa nafasi walizopewa!
Mh. Rais, baadhi ya wateule wako hawakupendi na au hawapendi style yako ya kiuongozi hivyo wameamua kwa makusudi kabisa Tena bila kujificha kukuchafua wewe binafsi na nafasi yako ya urais!
Ni juzi tu Waziri wa Usafirishaji pamoja na katibu mkuu wa habari ambaye pia ni msemaji wa serikali akiungwa mkono na mwenezi mkuu wa CCM waliamua kwa makusudi kabisa kuchapisha picha za ndege ambayo haijawahi kutua katika ardhi ya Africa tangu kuundwa kwake; eti ilitua KIA ikiwa imebeba watalii!
Jambo hilo halikuwa sahihi kwani Watanzania wasio wajinga; walifuatilia na kubaini uongo wao kwani ndege Ile ilitoka Ujerumani na kutua Ugiriki na haikuwahi kutua Tanzania.
Nakukumbusha tu Mh. Rais kuwa huu sio wakati wa kudanganyana kwani teknolojia inawabaini waongo kwa haraka. Na hili halijafanywa kwa bahati mbaya, bali wahusika wanakuchafua wakiwa conscious kabisa!
Hebu jitafakari na au uwatafakari hawa wahusika juu ya udhalilishaji huu wa mamlaka uliyowakasimu kama wanatosha kwani kauli yako ya, " Watanzania sio wajinga" ikapate nafasi ya kusimamia katika uhalisia wake kwani binafsi sifurahishwi kuchafuliwa kwako.
Mh. Rais, baadhi ya wateule wako hawakupendi na au hawapendi style yako ya kiuongozi hivyo wameamua kwa makusudi kabisa Tena bila kujificha kukuchafua wewe binafsi na nafasi yako ya urais!
Ni juzi tu Waziri wa Usafirishaji pamoja na katibu mkuu wa habari ambaye pia ni msemaji wa serikali akiungwa mkono na mwenezi mkuu wa CCM waliamua kwa makusudi kabisa kuchapisha picha za ndege ambayo haijawahi kutua katika ardhi ya Africa tangu kuundwa kwake; eti ilitua KIA ikiwa imebeba watalii!
Jambo hilo halikuwa sahihi kwani Watanzania wasio wajinga; walifuatilia na kubaini uongo wao kwani ndege Ile ilitoka Ujerumani na kutua Ugiriki na haikuwahi kutua Tanzania.
Nakukumbusha tu Mh. Rais kuwa huu sio wakati wa kudanganyana kwani teknolojia inawabaini waongo kwa haraka. Na hili halijafanywa kwa bahati mbaya, bali wahusika wanakuchafua wakiwa conscious kabisa!
Hebu jitafakari na au uwatafakari hawa wahusika juu ya udhalilishaji huu wa mamlaka uliyowakasimu kama wanatosha kwani kauli yako ya, " Watanzania sio wajinga" ikapate nafasi ya kusimamia katika uhalisia wake kwani binafsi sifurahishwi kuchafuliwa kwako.